Recent content by kwisha

  1. kwisha

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Kwanini katika hii vita israel hataki kabisa kutumia makombora ya ballistic kama Jericho 1,2,3 hii ni kombora ambalo Lina uwezo wa kubeba hata vichwa vya Nuclia Delilah cruise missile: Ina uwezo wa kuzunguka katika anga kabla ya kushambulia Spike NLOS ( Non line of sight) uwezo wake huu Ina...
  2. kwisha

    Nashindwa nini niamue katika situation hii

    Tatizo lake ni mgumu mno kusaidia yupo kwenye shida lakini bado ni muongo kupindukia na mbishi pamoja na mjuaji ninaweza kumwambia tufanye ili ili tukusaidie yeye anajifanya anajua mara anadanganya kuwa ataondoka kesho tena kesho unamuona Anadanganya kuwa amepata kazi ukichunguza unakuta ni...
  3. kwisha

    Nashindwa nini niamue katika situation hii

    Mwaka 2017, mimi na familia yangu tulihamia Canada kwa matumaini ya maisha bora na ya utulivu. Hata hivyo, baada ya kufika, tulikumbana na changamoto kubwa kutoka kwa baadhi ya Wakongo wenzetu tuliowakuta hapa. Walitusambaratisha kupitia fitna na chuki walizozusha baada ya kuona familia yetu ni...
  4. kwisha

    Ninawasiwasi na mke wangu

    Katika ndoa kuaminiana ndo nguzo kubwa ambalo linaleta mafanikio Ila katika ulimwengu wetu huu tunasema kumuamni mwanamke ni kupoteza mda na mimi apo ndipo nimesimamia mimi ni kijana nimeoa kwasasa nina miaka 3 kwenye ndoa yangu na mke wangu Lakini kuna mambo fulani ambayo sielewi kwa mke...
  5. kwisha

    Amuua mzazi wake baada ya kufumaniwa

    Hii hapa taarifa iliyowekwa kwa mtindo wa taarifa kwa vyombo vya Ontario, Canada – Katika tukio la kusikitisha na la kushtua, mzazi mmoja wa kike amefariki dunia ghafla baada ya kupokea taarifa kwamba binti yake, aliyekuwa tayari kuchumbiwa rasmi, amefumaniwa akiwa na mpenzi wake wa zamani...
  6. kwisha

    Naombeni ushauri ili nitoke kwenye kurizika na mpenzi mmoja

    Katika maisha yangu sijui kama nimeumbwa na moyo ambao uko tofauti na wanaume wenzangu Moyo wangu umeumbwa na asili ya kurizika Kwasababu hiyo basi mimi sinaga uwazo wa kupenda au kutamani mwanamke mwingine tofauti na yule niliyenaye na ikitokea nimependana na mwanamke mwingine lazima ni msahu...
  7. kwisha

    Timiza malengo yako kwa kutumia njia hii hapa

    Nina bilioni 50 kuna kingine kiongozi
  8. kwisha

    Timiza malengo yako kwa kutumia njia hii hapa

    Wewe kichaa chat GPT iko wapi sijui kama watu wengine wanavuta bangi
  9. kwisha

    Timiza malengo yako kwa kutumia njia hii hapa

    Fanya kazi kwa bidii Ndo njia yote hakuna nyingine kijana Kwenye kufanikiwa hakuna njia za mikato Ukitaka njia njia za mikato labda uwe jambazi na mwizi
  10. kwisha

    Maisha yangu ya ndoa ni tofauti na nilivyoyatarajia

    dogo acha uchawi wako nimekuandikia WhatsApp hujajibu sms yangu umeniblock kabisa na umeniblock messenger Acheni Tabia za kuendekeza ushirikina Naomba tu udongo ambao umekuja kuchukuwa maeneo ya home urudishe Kabla sijakuitia watu Nimekuandikia DM uku JM hutaki kujibu sms yangu
  11. kwisha

    Maisha yangu ya ndoa ni tofauti na nilivyoyatarajia

    Kabla ya kuoa, nilidhani ndoa ni chanzo cha furaha na baraka. Nilitarajia amani na utulivu, lakini ukweli umekuwa tofauti kabisa. Nimegundua kwamba changamoto za ndoa zinaweza kukuletea presha kubwa, hasa unapokuwa na kipato cha chini. Kipato kidogo kimekuwa chanzo cha migogoro isiyoisha...
  12. kwisha

    Nani adui namba moja wa Kongo

    Kongo inaweza kudhibitiwa vizuri lakini utadhibiti Vipi nchi ambayo imejaa ubaguzi
  13. kwisha

    Nani adui namba moja wa Kongo

    Nani adui namba moja wa Kongo? Ni mkongomani mwenyewe. Nilivyofanya uchunguzi, nimegundua kuwa Kongo ina adui mwingine mkubwa zaidi ya M23 – ni Kabila la Wakasai. Hawa ndio chanzo cha ugonjwa wa ubaguzi katika Kongo. Mwaka 1960, Joseph Kasavubu alipochukua madaraka, Wakasai walieneza habari...
  14. kwisha

    Ongezeko la single mothers linaongezeka Afrika, Serikali inatakiwa kuangalia upya suala hili

    Ndugu zangu Ni dhahiri kwamba ongezeko la wanawake wanaolea watoto peke yao limekuwa changamoto kubwa katika jamii nyingi za Kiafrika. Hali hii inatokana na sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na wanaume kutotekeleza majukumu yao ya kifamilia na kisheria. Kwa mfano, kuna hadithi ya dada mmoja...
Back
Top Bottom