Mimi ninaishi mkuranga jirani tu na Dar ulitaka tutembee kwa miguu tuje hapo kawe? Tumejiorganise tukachukuwa usafiri tumekuja Kawe. Ulitaka tutumie usafiri gani ambao wewe ndio ungekuaminisha kuwa tumekuja kwa hiyari yetu?
Kama ni hivyo mzee wa Msoga washike hivyo hivyo usilegeze kamba. Wameshasahau kwa nini nchi hii marehem mzee Kigoma Malima mzee wa Mkamba alianzisha no za mitihani badala ya majina. Mtasema Sana mwaka huu. Mungu aendele kumpa afya njema na uhai Mama na Mzee wa Msoga.
Kumbe na mwenzangu umepaona hapo anavyodanganya watu. Mkapa ktk moja ya hotuba zake alisema serikali itashughulikia matibabu ya mwalimu kwa gharama yeyote ile. Leo unadanganya watu kuwa serikali haikumuhudumia mwalimu!!!! Very shameful
Waongopee wajinga na watoto ambao hawakuwepo wakati huo! Chadema imekuwa maarufu baada ya NCCR, ikaja CUF na TLP kipindi hicho unachokisema CHADEMA haikuwa na Nguvu mpaka Kikwete apange kwenda kujiunga nacho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.