Recent content by Kwetuntwara

  1. K

    Makamba futa tarif 4 na tarrif 6, ambapo Bei ya unit moja ni sh 100 na sh 12 ilihali TANESCO wanaonunua zaidi ya 200

    Hiyo ni point. Nakumbuka miaka ya 1980s na mwanzoni mwa 1990s tuliongea sana kuhusu mashirika ya nje kuwekeza katika umeme ili kuwe na ushindani lakini hatukufanikiwa, kwa kuwa hakuna ushindani TANESCO wanafanya wanavyotaka.
  2. K

    Dkt. Mpango: Nilipoachiwa nchi niliogopa lakini nashukuru Rais umerudi na nchi ni salama kabisa

    Kuongoza hakuna shida na wala huumizi kichwa, kuna watu walishaumiza vichwa. Hawa ni waliobuni kanuni,taratibu na sheria za kiongoza. Labda kama mfumo unataka vinginevyo.
  3. K

    Tupieni picha ya Kingai na Maita tuwajue

    Tupia na picha ya afande Goodluck tumwone
  4. K

    Kesi ya Mbowe na wenzake inaanika hadi 'mambo ya siri za nchi'. DPP hujachelewa kuifuta

    Ngoja inyeshe tujue panapovuja. Kumbe polisi wamepewa madaraka mpaka ya kutesa makomandoo wa JWTZ ? Wallahi sikujua...
  5. K

    Rais Samia kuhudhuria na kuhutubia Baraza Kuu la 76 la Umoja wa Mataifa Jijini New York

    Waajiri wake aka wapiga kura wanatakiwa kujua hizo ratiba zingine
  6. K

    Freeman Mbowe afungua mashitaka Umoja wa Mataifa kuhusu Haki zake wakati anakamatwa na kuendelea kubakia kizuizini

    Haswaaa wewe ndiye bwege hujielewi : unateseka hivyo mlo mmoja kwa siku huku ukilipa tozo ili waajiriwa wako uliowaajiri wapate pesa ya kupiga misele na ndege na magari ya kifahari
  7. K

    Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

    Sio maji ya kunywa tu, kaomba pia kwenda haja ndogo na karuhusiwa ila kaonywa asiishie mitini
  8. K

    Rais anatumia kodi zetu vibaya, Royal Tour yake haina faida ni Ufujaji wa pesa za Maskini

    Hamna ubora wowote,nilichojifunza ni kila kukicha bora ya jana
Back
Top Bottom