Hiyo ni point. Nakumbuka miaka ya 1980s na mwanzoni mwa 1990s tuliongea sana kuhusu mashirika ya nje kuwekeza katika umeme ili kuwe na ushindani lakini hatukufanikiwa, kwa kuwa hakuna ushindani TANESCO wanafanya wanavyotaka.
Kuongoza hakuna shida na wala huumizi kichwa, kuna watu walishaumiza vichwa. Hawa ni waliobuni kanuni,taratibu na sheria za kiongoza. Labda kama mfumo unataka vinginevyo.
Haswaaa wewe ndiye bwege hujielewi : unateseka hivyo mlo mmoja kwa siku huku ukilipa tozo ili waajiriwa wako uliowaajiri wapate pesa ya kupiga misele na ndege na magari ya kifahari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.