Watu kama hawa mwishoni wanakufa na majuto sanaKingai oneView attachment 1956557
Watu kama hawa mwishoni wanakufa na majuto sanaKingai oneView attachment 1956557
Anajutia upumbavu wake,ukifika uzeeni ndo unatambua yoote ujanani ni kuukimbiza upepo.Atubu kwa Mola wakeZombe hana shida, ila hana raha wala faraja
Anza na picha ya kwako Kwanza....tuanzie hapo
.tupieni na ya Jumanne
kama yanayosemwa ni kweli huyu ni mtu hatari sana.Kingai oneView attachment 1956557
Kwahiyo, kwa mfano... nikimpa mimba mwanamke kwa bahati mbaya halafu nikamshauri akatoe nakuwa sijaishiriki hiyo dhambi?Makatili sana hao,ila hata kama walitumwa kutenda hayo wajue dhambi ipo juu ya vichwa vyao. Kwa Mungu huwa hakuna collective responsibility. Unakufa na lwa kwako.
Atakuwa Mfuasi WA Yule LusfaMtu asiyejulikana ambaye anatumika kutesa wengine , mtoto wa IGP wa zamani Mahita , huyu hapa , machoni ni kama mtu vile
View attachment 1956567
Baradhuli alikuwa kazini kutumikia shetani!Mtu asiyejulikana ambaye anatumika kutesa wengine , mtoto wa IGP wa zamani Mahita , huyu hapa , machoni ni kama mtu vile
View attachment 1956567
Mtoto wa nyoka ni nyoka.Kwani Baba yake alikuwaje?.Mtu asiyejulikana ambaye anatumika kutesa wengine , mtoto wa IGP wa zamani Mahita , huyu hapa , machoni ni kama mtu vile
View attachment 1956567
Maghosts hao...hata mahakamani hawajaonekana.... Wamesikika tuTupia na picha ya afande Goodluck tumwone