Recent content by KwetuKwanza

  1. K

    JamiiForums Tanzania Waganga wa Kinyeji Simiyu Tumechoka na michango ya Mwenge

    Ndugu wana jukwaa, Leo naomba nilete hii hoja kwenu. Sisi waganga wa Tiba asili au waganga wa Kinyeji Mkoa wa Simiyu, tumechoka na michango ya lazima Kwa ajili ya Mwenge. Kila Mwaka tumekuwa tunachangishwa tena Kwa lazima, usipochanga unawekewa vikwazo na vitisho kibao. Kila Mwaka...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Waganga wa Kinyeji Simiyu tumechoka na michango ya Mwenge

    Ndugu wana jukwaa, Leo naomba nilete hii hoja kwenu. Sisi waganga wa Tiba asili au waganga wa Kinyeji Mkoa wa Simiyu, tumechoka na michango ya lazima Kwa ajili ya Mwenge. Kila Mwaka tumekuwa tunachangishwa tena Kwa lazima, usipochanga unawekewa vikwazo na vitisho kibao. Kila Mwaka...
  3. K

    JamiiForums Tanzania KERO Huku Mbeya tumeanza kuonja joto, Daladala za Mjini zimegoma, tunasota

    Baada ya bei ya nishati ya mafuta kutangazwa kupanda kwa zaidi ya Shilingi 1,000 katika maeneo mbalimbali, huku kwetu Mbeya mambo yameanza kuchangamka, daladala nyingi za hapa town zimepotea. Wamefanya hivyo kwa kuwa LATRA walitangaza kwamba nauli za daladala zisiongezeke hadi watakapokutana na...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Hongereni Halmashauri ya Mji Bariadi kwa kulitengeneza gari hili la maji taka

    Siku chache zilizopita kupitia Jukwaa hili, nilileta moja ya hoja kutoka kwenye Halmashauri yangu ya Mji wa Bariadi. https://www.jamiiforums.com/threads/halmashauri-ya-mji-wa-bariadi-imetelekeza-vifaa-vilivyonunuliwa-kwa-fedha-za-kodi-za-wananchi-hawajali-hakuna-anayeumia.2413699/ Hoja hiyo...
  5. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msoto walichopitia Wapinzani katika Uchaguzi Mkuu 2025; Uapisho wa kimyakimya, fomu kukataliwa…

    Kabla ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 serikali ilitangaza kuwa imefanya marekebisho katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ili iwe huru na haki. Moja ya maeneo ni kubadilisha jina la tume hiyo na kuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ambapo iliongezwa neno HURU, kuondolewa...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Bibi anatafutwa amepotea, ukimuona popote toa taarifa

    Anaitwa Hawa Shuma Hemedi amepotea tangu tarehe 31/01/2026, ni mzaliwa wa Kigoma amepotea akiwa Ubungo Kibangu Jijini Dar es Salaam. Mara ya mwisho alikuwa amevaa gauni ya kitenge na kajifunga kitenge na juu kajitanda kanga, anatembea na mkongojo chini kavaa ndala za kijani, unapomuona au ukiwa...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Madeni yamenizidi sababu ya uraibu wa kubeti, sijui cha kufanya nisaidieni

    Nimetafakari sana nikaona ujumbe wangu huu niufikishe kwenye jamii ili kama itawezekana nipate ushauri ambao unaweza kunisaidia. Aisee! Samahani nimekuwa Mraibu wa kubet naona kama nimepitiliza aisee, maana nimebeti hadi kufikia kuwa na madeni mtaani mengi kusiko kawaida. Mpaka kuna wakati...
  8. K

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya chenji Stendi ya Mabasi Shinyanga, Kivuko cha Kisorya – Ukerewe inavyowanufaisha Watoa Huduma

    Machi 23, 2022 Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV – Netherlands Development Organization) kupitia Mradi wa Usafi wa Mazingira (WASH SDG) na unaofadhiliwa na Serikali ya Uholanzi. Kilijengwa choo cha kisasa katika Stendi Kuu ya Mabasi...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna kijana aliyelipwa kuandamana Oktoba 29. “Tumechoka na Uchaguzi wa maigizo”

    Baada ya kufanyika maandamano ya Oktoba 29, 2025, yaliyokabiliwa kwa nguvu za kijeshi na vyombo vya ulinzi na usalama, Novemba 3, 2025 Rais Samia Suluhu Hassan, alidai kuwa waliohusika kwenye maandamano hayo ni raia wa kigeni, kauli ambayo hata hivyo hakuithibitisha. Alipozindua Bunge la...
  10. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hakuna kijana aliyelipwa kuandamana Oktoba 29, 2025 ila “Tumechoka na Uchaguzi wa maigizo”

    Baada ya kufanyika maandamano ya Oktoba 29, 2025, yaliyokabiliwa kwa nguvu za kijeshi na vyombo vya ulinzi na usalama, Novemba 3, 2025 Rais Samia Suluhu Hassan, alidai kuwa waliohusika kwenye maandamano hayo ni raia wa kigeni, kauli ambayo hata hivyo hakuithibitisha. Alipozindua Bunge la...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Businde - Kigoma ni Kata pekee ambayo haijawahi kuwa na lami tangu Dunia iumbwe

    Hii ni Barabara Kuu inayounganisha Kata ya Buhanda na Businde iliyopo Manispaa ya Kigoma/Ujiji, ambapo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, hapo Businde ni Kata pekee ambayo haijawahi kuwa na lami tangu Ulimwengu kuumbwe lakini kata nyingine 18 za Manispaa hiyo zimepitiwa na lami. Wananchi wa...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini nafasi ya Bosi wa TAKUKURU haina kinga kama nafasi ya CAG?

    Nilikuwa katika kijiwe flani cha Wasomo wakati tukijadiliana suala la rushwa, kuna hoja ilianzishwa kwamba moja ya jambo ambalo watu wanalichukuliwa poa ni kwamba linaweza kuwa linachan gia matukio ya rushwa kuendelea kuwa ngumu kudhibitiwa hasa yale makubwa ni mtu anayeshika nafasi ya...
Back
Top Bottom