Watu wanashindwa kuelewa kufukuza kuna taratibu zake kama ilivyo kuajiri. Kama kuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa mlengwa katenda kosa utaratibu wa kufukuza upo, kama ushahidi hakuna ndio kabisa mfanyakazi hagusiki zaidi ya kuhamishwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.