Recent content by Kweme

  1. K

    Bei ya mafuta ya gari yazidi kuporomoka kwenye soko la dunia

    Hivi hayo mafuta ya gari ni haya haya ya petrol na diesel? Kama ni hayo mbona huku hayaporomoki bei?
  2. K

    A serious gentleman, understanding person click here!!

    Toa sifa zako nawe tuzijue ili kujiridhisha kwa kuanzia
  3. K

    Serikali yafanya mabadiliko ya uongozi katika Bandari ya Dar es salaam

    Watu wanashindwa kuelewa kufukuza kuna taratibu zake kama ilivyo kuajiri. Kama kuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa mlengwa katenda kosa utaratibu wa kufukuza upo, kama ushahidi hakuna ndio kabisa mfanyakazi hagusiki zaidi ya kuhamishwa!
Back
Top Bottom