Recent content by Kwasenga

  1. K

    Barabara ya Mbezi Victoria mpaka Bunju ( Awamu ya kwanza, Mbezi Victoria mpaka Mpigi Magoe-9.55km)

    Daaah, hii barabara changamoto kweli kweli. Tangu November 2024 mkandarasi bado anatafutwa. Na bajeti hii ya 2025/2026 bado anatafutwa. Tunaomba kujua sasa ni lini specific hii barabara itaanza kujengwa?? Nionavyo mimi mpaka huu mwaka unaweza kuisha tena. Mungu asaidie kwa kweli.
  2. K

    Barabara ya Mbezi Victoria mpaka Bunju ( Awamu ya kwanza, Mbezi Victoria mpaka Mpigi Magoe-9.55km)

    Hakuna mwenye majibu. Kila mmoja kaamua kukaa kimya. Hii barabara ilitangazwa June 2024, then ikatangazwa tena November 2024. Sasa ni miezi takribani 5 imepita bado ni kimya. Labda bajeti ijayo.
  3. K

    Naomba kuelewa mchakato wa barabara ya kutokea Mbezi Mwisho kwenda Bunju kupitia Mpigi Magoe umefikia wapi?

    Nimesikitika kuona tenda iliyotangazwa mwezi June 2024 ikiwa na refence TR36/002/2023/2024/W/98 imetangazwa tena mwezi Novamba kwa reference namba TR36/002/2024/2025/W/88. Shida iko wapi?? Kwani humu hakuna TANROADS wakatolea ufafanuzi?? Au ni danadana tu hii barabara ya Mbezi Victoria-Bunju...
  4. K

    Waziri Mchengerwa: Tirioni moja kutumika kuboresha Miundombunu Dar

    Barabara ya Mbezi Victoria kwenda Bunju via Mpigi Magoe nayo ikumbukwe sasa. Tunajua hii ni barabara ya TANROADS na tenda ilitangazwa mwezi June 2024 lakini mpaka sasa kimya. Taratibu za tenda zote hufanyikia kwenye mfumo wa NEST na kila hatua ni rahisi kuijua kwa kuona tenda imefikia wapi...
  5. K

    Naomba kuelewa mchakato wa barabara ya kutokea Mbezi Mwisho kwenda Bunju kupitia Mpigi Magoe umefikia wapi?

    Tenda: TR36/002/2023/2024/W/98 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Mbezi Victoria kuelekea Bunju kupitia Mpigi Magoe Wakuu naomba kuelewa mchakato wa barabara ya kutokea Mbezi Mwisho kwenda Bunju kupitia Mpigi Magoe umefikia wapi? Kinachonisikitisha hii tenda hata kwenye NEST ishatolewa na...
  6. K

    Barabara ya Mbezi Victoria mpaka Bunju ( Awamu ya kwanza, Mbezi Victoria mpaka Mpigi Magoe-9.55km)

    Halipo. Nimefuatilia ndo maana nikaweka hii post. Kwa kuwa tenda ni public document naomba wewe ukiiona unipatie hapa
  7. K

    Barabara ya Mbezi Victoria mpaka Bunju ( Awamu ya kwanza, Mbezi Victoria mpaka Mpigi Magoe-9.55km)

    Wakati Mheshimiwa Mbunge wa Kibamba akichangia bajeti ya wizara ya ujenzi 2024/2025 alisema tangazo la tenda ya kujenga barabara ya Mbezi Victoria kwenda Mpigi Magoe limeshatoka. Nimetafuta kila mahala hili tangazo sijaliona kabisa, ninachokutana nacho ni tangazo la barabara ya kibamba shule to...
  8. K

    Mbezi mwisho-Bunju via Mbezi High School, lami inabaki kuwa kimini

    Nimeshangaa sana hii barabara kukosa tena kwenye bajeti ya mwaka ujao. Sasa lami itakuwa ikiyatoa mabasi stand yakapita mbezi high school kidogo lami inaishia hapo. Kwa kweli ni maajabu sana. Hivi kwa ubusy wa ile barabara kweli unaweza kuiacha kwa miaka kumi yote??! Kwa kweli nimeshangaa na...
  9. K

    Na hiki pia ni kivutio cha utalii Tanzania, tukitangaze

    Wapendwa habari ya mapumziko. TANROADS nawasalimia sana kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naiomba wizara ya mali asili na utalii iziweke barabara za TANROADS mkoa wa Dar es Salaam katika list ya vivutio vya utalii, make na zenyewe ziko kiasili kabisa. Barabara ni ya TANROADS tangu...
  10. K

    Barabara ya Mbezi Mwisho mpaka Mpigi Magoe via Mbezi high school inaitia hasara serikali. TANROAD hamuioni??

    Hii barabara ni kero kwa kweli. Mpaka sasa sioni dalili yoyote ya kuifanyia kazi yoyote.
  11. K

    TANROADS na barabara za jimbo la Kibamba

    Nilichogundua hii barabara ni biashara ya watu. Haiwezekani ukwangue barabara tu alafu ulipe na baada ya siku tatu mashimo tayari. Tuwskwe wazi basi kwani wanaokwangua hawatakiwi kuweka vifusi?
  12. K

    Aliyeset taa za Ubungo kwa Mfugale kutokea Mwenge kwenda Kimara amechemka sana

    Hizi taa mwanzoni zilikuwa zinaruhusu sekunde angalau kuanzia sitini. Kwa sasa wameamua kuweka sekunde ishirini. Hii kwa kweli imerudisha foleni ya zamani. Sasa hivi foleni inaanzia njia ya kwenda UDSM. Huyu aliyeset hizi taa ana makusudi gani?
  13. K

    Mkoa wa CHATO wazaa mgogoro wa kiutawala, kikabila na kielimu

    Hawa wanatapatapa tu, undeni Chato yenu iwe mkoa bila kuzigusa mikoa mingine. Tafuta clip ya JPM (RIP) akiwa Tunduru alafu mheshimiwa diwani na wewe utuletee hiyo aliyotoa ahadi hapo Chato iwe mkoa. Kwanza Chato ina hadhi gani ya kuwa mkoa?
Back
Top Bottom