Ulipaswa useme akiwa amemaliza mkutano, siyo kutuambia ya moyoni mwako.... Eti hakunashamra shamra kesho watu wakifika wengi ukiwemo na wewe utasema nini
Usinifanye nikauanza mwaka vibaya
Mimi nampongeza sana kwa sababu nahisi waliokuwa wanachangia kuongezeka kwa gharama ni pamoja na kualika Marais kutoka nchi nyingine nao ni lazima uwagharimie tena kwa pesa nyingi, lkn mwaka huu ni sisi tu humu ndani so lazima gharama zimepungua sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.