Hata yale makontena tuliyozuia bandarini tutawalipa ACACIA tu, huu ni ukweli mchungu ila ni ukweli

Nimerudi kuangalia ripoti aliyorusha Paskali Mayalla kwenye uzi wake humu jamvini . Ripoti iliandaliwa na TMAA.
Hivi nini kilitokea mpaka hao jamaa wa TMAA wakaandika report ile? Serikali iliwaagiza? Kama iliwaagiza ilikuwaje ACACIA akatoa ela ya kuandaa report hiyo? Serikali ilikosa fedha?
Nimeipitia ile report kwa haraka sana ina upuuzi mwingi.
 
Hebu tuambie hiyo sheria inayotkiwa kuzingatia ,maana kila kona haizingatiwi daaaaaaa hivi vitoto vya mafisadi mnakeraaaa
Sheria gani mnatumia kukurupuka tu na kutoa maagizo bila kushauriana lands zote husika? Nani walitengeneza hii mikataba mimi/wewe? Ni hao wao wanaojidai sasa wanaitengeneza. Hata tulijadilie vipi njia ambayo tumepitia kwa hili siyo. Muda utaeleza hapa mbele tu.
Mm nawaangalia tu hao wanaopongeza, Mara hii wameshasahau km tulishalipishwa meli na samaki
 
Naam muda utafika na haya yanayozungumzwa leo yatatekelezwa tu.

Sisi wote ni wazalendo, tena wazalendo tuliopiga kelele kwa muda kwelikweli. Tatizo letu kubwa huwa hatuachi kusema ukweli tena ukweli mchungu. Tulifungia makontena ya ACACIA pale bandarini kwa muda sasa huku tukiunda tume kuyachunguza. Sasa tuchague moja, kuwalipa fidia pale watakapodai ama kuishi kama watu ndani ya handaki, hakuna kutoka nje ama kutoa chochote. Hapo nimetumia mfano ila ni kuwa tutakapoamua kwenda kinyume na mikataba CCM waliyosaini basi tutaumia wote.

ACACIA hawakufanya biashara hewani, wamefanya biashara Tanzania na wamekaguliwa na vyombo huru tulivyojiundia sisi wenyewe, wao kama wao hawajawahi kutoka nje ya vyombo lukuki mliojiwekea enyi serikali ya CCM. Mna TMAA, mna CAG, mna ofisi ya AG, mna mahakama ya kibiashara na mbaya zaidi wanapitia kwenye njia zenu kupeleka mali zao huko ughaibuni.

Leo mnakurupuka kuwafungia kwa muda lakini tutalazimika kubuni vyanzo vingine vya mapato kuwaifidia kwa haya tunayofanya leo pale watakapoamua kufanya hivyo.

Uzalendo ukiambatana na mambo ya kujifariji na kuishi kwa matumaini ndani ya muda mfupi, huo sio uzalendo. Uzalendo huambatana na ukweli na suluhisho ambalo ukiliangalia tu unajua kuwa hili ni suluhisho. Badala yake sasa tunapiga tu blah blah na mbaya zaidi wanaotuchezesha zumari hili la blah blah wanaujua ukweli. Ole kwa wale wasiojua ukweli huo.

Jana rais Magufuli alichofanya ni kuwakumbusha tu watanzania kuwa Mkapa katuingiza cha kike. Akakumbushia machungu wee huku tukiuma meno kwa hasira. Lakini ni bora angesema pia hata haya makontena niliyozuia nitalazimika kulipa fidia pale itakapodaiwa. Huo ndiyo ukweli.

Narudia tena kuwa, ACACIA aki-step forward tu nitashangaa sana kama AG atatuma mawakili kwenda kutetea serikali! Kushinda kesi itakuwa ni ndoto ya mchana. Ni kweli tumepigwa kwa muda sana na sasa madini ni kama yanaishiaishia lakini kwa sasa tunayo maamuzi mawili tu (Haramu)
1) Kukubali kuendelea kupigwa kutokana na mkataba tuliosaini wenyewe.
2) Tuamue kufanya kama Mugabe (Huyu ni mwenzetu. Kamwe tusijilinganishe na kina Cuba, Ana Venezuela maana hawa wanajiweza sana kiuchumi). Na tukiamua kuishi kama Mugabe basi watakaoanza kuumia ni wale mafukara wa kutupwa. Kuumia kutaenda ngazi kwa ngazi hilo lipo wazi. Nje ya hapo tutakuwa tunapiga tu porojo.

Bahati mbaya sana yapo mavuvuzela humu ambayo tukiongea ukweli huu yanaleta kejeli na kuona kama tumenunuliwa! Lah! Acha tu muone hivyo lakini ukweli ndio huo! Hawa wamefanya biashara wakisimamiwa na vyombo lukuki vya serikali ya CCM, leo hawapaswi kamwe kulaumiwa. Na kinara anayelaumu naye alikuwa kwenye vikao halali vya baraza la mawaziri tangia mwaka 1998 hajawahi kuwa nje hata mara moja mpaka anakuwa rais. Bora hata Muhongo yeye aliyakuta ila siyo Magufuli.

Naona UVCCM wamepongeza, tofauti ni kuwa wakati Mkapa anasaini hii mikataba UVCCM ya wakati huo ilipongeza pia na kuuita uzalendo. UVCCM hiyohiyo ya enzi za Kikwete ilipongeza pia. Hawa huwa ni kazi yao kupongeza kila tukio la mkuu wao wa wakati huo. Ukweli ni kazi yetu sisi kuusema na ndiyo maana tunausema. Sisi ni wazalendo kweli ila pia ni wasema ukweli kweli.
Mkuu, haujanipa hoja za Msingi za kwanini Una hofia tutashindwa.

Nimemsikiliza pia Comredi Lissu, japo Kwa kipanda, Ila pia sijaona hoja ya msingi.

1. Tuna hofu kama "finding" zetu ni zakweli au La?
2.Kuna hasara zipi zinazo tokana na kusimamisha Makontena hayo Kwa Muda?
3.Mkataba Umekataza kuhakiki quantity nje ya mfumo wa uhakiki?
4.Au tuna wasiwasi na hatua zitakazo fuata?

Hebu tusaidiane kujadili Kwa hoja.
 
Sheria gani mnatumia kukurupuka tu na kutoa maagizo bila kushauriana lands zote husika? Nani walitengeneza hii mikataba mimi/wewe? Ni hao wao wanaojidai sasa wanaitengeneza. Hata tulijadilie vipi njia ambayo tumepitia kwa hili siyo. Muda utaeleza hapa mbele tu.
Kalagabaho kama hujui sheria tuliyotumia nyamaza subiri matokeo
 
vichekesho umlipe anayekuibia ....hao wakali wamekutuma utueleze hilo. Tunasubiri kwa hamu sana wezi hawa watakavyo tulipisha fidia kwa wizi wao
 
Kazi yenu kupinga tu

Mnaudhi sana, Sijui mnapenda tuendelee kuibiwa

Mnajifanya wajuaji sana, Serikali inajua inachokifanya, mnaropoka utadhan hiyo mikataba mshawahi hata kuiona na kujua ugumu upo wapi

Ndio maana raisi Aliunda tume mbili, Hakukurupuka,

Na kwa staili hii 2020 HAMPITI, Wa tanzania washajua udalali wenu

Yupo wapi Zitto, Lissu ? Kelele nyiiiingi hata formula ya Gold, copper, sulphur, tin ,titanium Hamzijui, Ila ujuaji mwingiiii


Shenzi kabisa
Daima watoto huwa wanapaangalia mahali pale walipoangukia, lakini watu wazima wao hurudi kupatazama mahari walipojikwaa!

Naam muda utafika na haya yanayozungumzwa leo yatatekelezwa tu.

Sisi wote ni wazalendo, tena wazalendo tuliopiga kelele kwa muda kwelikweli. Tatizo letu kubwa huwa hatuachi kusema ukweli tena ukweli mchungu. Tulifungia makontena ya ACACIA pale bandarini kwa muda sasa huku tukiunda tume kuyachunguza. Sasa tuchague moja, kuwalipa fidia pale watakapodai ama kuishi kama watu ndani ya handaki, hakuna kutoka nje ama kutoa chochote. Hapo nimetumia mfano ila ni kuwa tutakapoamua kwenda kinyume na mikataba CCM waliyosaini basi tutaumia wote.

ACACIA hawakufanya biashara hewani, wamefanya biashara Tanzania na wamekaguliwa na vyombo huru tulivyojiundia sisi wenyewe, wao kama wao hawajawahi kutoka nje ya vyombo lukuki mliojiwekea enyi serikali ya CCM. Mna TMAA, mna CAG, mna ofisi ya AG, mna mahakama ya kibiashara na mbaya zaidi wanapitia kwenye njia zenu kupeleka mali zao huko ughaibuni.

Leo mnakurupuka kuwafungia kwa muda lakini tutalazimika kubuni vyanzo vingine vya mapato kuwaifidia kwa haya tunayofanya leo pale watakapoamua kufanya hivyo.

Uzalendo ukiambatana na mambo ya kujifariji na kuishi kwa matumaini ndani ya muda mfupi, huo sio uzalendo. Uzalendo huambatana na ukweli na suluhisho ambalo ukiliangalia tu unajua kuwa hili ni suluhisho. Badala yake sasa tunapiga tu blah blah na mbaya zaidi wanaotuchezesha zumari hili la blah blah wanaujua ukweli. Ole kwa wale wasiojua ukweli huo.

Jana rais Magufuli alichofanya ni kuwakumbusha tu watanzania kuwa Mkapa katuingiza cha kike. Akakumbushia machungu wee huku tukiuma meno kwa hasira. Lakini ni bora angesema pia hata haya makontena niliyozuia nitalazimika kulipa fidia pale itakapodaiwa. Huo ndiyo ukweli.

Narudia tena kuwa, ACACIA aki-step forward tu nitashangaa sana kama AG atatuma mawakili kwenda kutetea serikali! Kushinda kesi itakuwa ni ndoto ya mchana. Ni kweli tumepigwa kwa muda sana na sasa madini ni kama yanaishiaishia lakini kwa sasa tunayo maamuzi mawili tu (Haramu)
1) Kukubali kuendelea kupigwa kutokana na mkataba tuliosaini wenyewe.
2) Tuamue kufanya kama Mugabe (Huyu ni mwenzetu. Kamwe tusijilinganishe na kina Cuba, Ana Venezuela maana hawa wanajiweza sana kiuchumi). Na tukiamua kuishi kama Mugabe basi watakaoanza kuumia ni wale mafukara wa kutupwa. Kuumia kutaenda ngazi kwa ngazi hilo lipo wazi. Nje ya hapo tutakuwa tunapiga tu porojo.

Bahati mbaya sana yapo mavuvuzela humu ambayo tukiongea ukweli huu yanaleta kejeli na kuona kama tumenunuliwa! Lah! Acha tu muone hivyo lakini ukweli ndio huo! Hawa wamefanya biashara wakisimamiwa na vyombo lukuki vya serikali ya CCM, leo hawapaswi kamwe kulaumiwa. Na kinara anayelaumu naye alikuwa kwenye vikao halali vya baraza la mawaziri tangia mwaka 1998 hajawahi kuwa nje hata mara moja mpaka anakuwa rais. Bora hata Muhongo yeye aliyakuta ila siyo Magufuli.

Naona UVCCM wamepongeza, tofauti ni kuwa wakati Mkapa anasaini hii mikataba UVCCM ya wakati huo ilipongeza pia na kuuita uzalendo. UVCCM hiyohiyo ya enzi za Kikwete ilipongeza pia. Hawa huwa ni kazi yao kupongeza kila tukio la mkuu wao wa wakati huo. Ukweli ni kazi yetu sisi kuusema na ndiyo maana tunausema. Sisi ni wazalendo kweli ila pia ni wasema ukweli kweli.
 
Tumwache Rais na hizo tume kuendelea kushughulikia hili suala zito. Uzalendo uanzie kwenye rasilimali zetu na je tunazilindaje na zinatunufaishaje.
Kuna watu wanajifanya wapembuzi kupindukia. Rubbish!
 
ROBERT MUGABE! ROBERT MUGABE! A TRULY SON OF AFRICA! U THOUGHT IT RIGHT WHEN U DROVE THESE SCRAMBLES OUT MATEBELE AND SHONA LANDS! U SAW FOR HOW MANY YEARS HAVE THEY SQUANDER! LOOT! PLUNDERED THE VERY WEALTHY AND HEART OF ZIMBABWE AND ZIMBABWEANS,! AND HE FINALY LET THEM GO! JUST GO! U MARAUDERS ANGELS OF DARKNES, WHO COME IN THE NAME OF INVESTING! SINCE WHEN A BLACK BEING IS OF IMPORTANCE TO U!??? U CREATE WAR ALL OVER AFRICA FOR UR OWN GOOD! WHAT UR DOING IN CONGO! NAIGERIA DELTA! U CREATED ALSHBAB+BOKO HARAM! PURPOSELY! U CREATED JOSEPH KONY CAUSE OF RICH GAS AND OIL IN UGANDA! U ALWAYS INCITE AFRICANS TO RISE EITHER TRIBAL WISE OR POLITICAL WISE WHILE U FUELING WARS WITH UR WEAPONS AND TAKE AWAY OUR RESOURCES! U ALWAYS ARE STRATEGIC U AS WELL USE SOME AFRICAN LEADERS AS UR COLABORATORS! MAY ROBERT MUGABE LIVE LONG!
 
Nakubaliana na wewe mkuu ila, tuombe Mungu kuwe kumepatikana ka mwanya tu ka kumkosoa huyo Accacia ili ionekane kuwa katuibia ndipo tuutumie mwanya huo kuwang'oa bila ganzi meno yao. Lakini kama ni kukurupuka, basi tujiandae kuula wa chuya
Vita huwa haina draw kuna kupiga au kupigwa.Tujiandae kwa lolote.
 
Naam muda utafika na haya yanayozungumzwa leo yatatekelezwa tu.

Sisi wote ni wazalendo, tena wazalendo tuliopiga kelele kwa muda kwelikweli. Tatizo letu kubwa huwa hatuachi kusema ukweli tena ukweli mchungu. Tulifungia makontena ya ACACIA pale bandarini kwa muda sasa huku tukiunda tume kuyachunguza. Sasa tuchague moja, kuwalipa fidia pale watakapodai ama kuishi kama watu ndani ya handaki, hakuna kutoka nje ama kutoa chochote. Hapo nimetumia mfano ila ni kuwa tutakapoamua kwenda kinyume na mikataba CCM waliyosaini basi tutaumia wote.

ACACIA hawakufanya biashara hewani, wamefanya biashara Tanzania na wamekaguliwa na vyombo huru tulivyojiundia sisi wenyewe, wao kama wao hawajawahi kutoka nje ya vyombo lukuki mliojiwekea enyi serikali ya CCM. Mna TMAA, mna CAG, mna ofisi ya AG, mna mahakama ya kibiashara na mbaya zaidi wanapitia kwenye njia zenu kupeleka mali zao huko ughaibuni.

Leo mnakurupuka kuwafungia kwa muda lakini tutalazimika kubuni vyanzo vingine vya mapato kuwaifidia kwa haya tunayofanya leo pale watakapoamua kufanya hivyo.

Uzalendo ukiambatana na mambo ya kujifariji na kuishi kwa matumaini ndani ya muda mfupi, huo sio uzalendo. Uzalendo huambatana na ukweli na suluhisho ambalo ukiliangalia tu unajua kuwa hili ni suluhisho. Badala yake sasa tunapiga tu blah blah na mbaya zaidi wanaotuchezesha zumari hili la blah blah wanaujua ukweli. Ole kwa wale wasiojua ukweli huo.

Jana rais Magufuli alichofanya ni kuwakumbusha tu watanzania kuwa Mkapa katuingiza cha kike. Akakumbushia machungu wee huku tukiuma meno kwa hasira. Lakini ni bora angesema pia hata haya makontena niliyozuia nitalazimika kulipa fidia pale itakapodaiwa. Huo ndiyo ukweli.

Narudia tena kuwa, ACACIA aki-step forward tu nitashangaa sana kama AG atatuma mawakili kwenda kutetea serikali! Kushinda kesi itakuwa ni ndoto ya mchana. Ni kweli tumepigwa kwa muda sana na sasa madini ni kama yanaishiaishia lakini kwa sasa tunayo maamuzi mawili tu (Haramu)
1) Kukubali kuendelea kupigwa kutokana na mkataba tuliosaini wenyewe.
2) Tuamue kufanya kama Mugabe (Huyu ni mwenzetu. Kamwe tusijilinganishe na kina Cuba, Ana Venezuela maana hawa wanajiweza sana kiuchumi). Na tukiamua kuishi kama Mugabe basi watakaoanza kuumia ni wale mafukara wa kutupwa. Kuumia kutaenda ngazi kwa ngazi hilo lipo wazi. Nje ya hapo tutakuwa tunapiga tu porojo.

Bahati mbaya sana yapo mavuvuzela humu ambayo tukiongea ukweli huu yanaleta kejeli na kuona kama tumenunuliwa! Lah! Acha tu muone hivyo lakini ukweli ndio huo! Hawa wamefanya biashara wakisimamiwa na vyombo lukuki vya serikali ya CCM, leo hawapaswi kamwe kulaumiwa. Na kinara anayelaumu naye alikuwa kwenye vikao halali vya baraza la mawaziri tangia mwaka 1998 hajawahi kuwa nje hata mara moja mpaka anakuwa rais. Bora hata Muhongo yeye aliyakuta ila siyo Magufuli.

Naona UVCCM wamepongeza, tofauti ni kuwa wakati Mkapa anasaini hii mikataba UVCCM ya wakati huo ilipongeza pia na kuuita uzalendo. UVCCM hiyohiyo ya enzi za Kikwete ilipongeza pia. Hawa huwa ni kazi yao kupongeza kila tukio la mkuu wao wa wakati huo. Ukweli ni kazi yetu sisi kuusema na ndiyo maana tunausema. Sisi ni wazalendo kweli ila pia ni wasema ukweli kweli.
Hatuna muda wajameni wa kusikiliza hizi takataka za kipumbaf. Kaeni na mawazo yenu muwaeleze wake zenu majumbani kwenu. Tunachojua tumepigwa na tumepigwa kweli na mijizi hii. Hatuna msalie mtume hapa. Ni lazimatuwe na mawazo positive. Leteni mawazo ya kutupeleka mbele na sio hayo yenu ya kusaidia kumuwazia muwekezaji. Ulofa huo.mods futa takataka hii
 
Kazi yenu kupinga tu

Mnaudhi sana, Sijui mnapenda tuendelee kuibiwa

Mnajifanya wajuaji sana, Serikali inajua inachokifanya, mnaropoka utadhan hiyo mikataba mshawahi hata kuiona na kujua ugumu upo wapi

Ndio maana raisi Aliunda tume mbili, Hakukurupuka,

Na kwa staili hii 2020 HAMPITI, Wa tanzania washajua udalali wenu

Yupo wapi Zitto, Lissu ? Kelele nyiiiingi hata formula ya Gold, copper, sulphur, tin ,titanium Hamzijui, Ila ujuaji mwingiiii


Shenzi kabisa
Mawazo mbadala ni afya kwa ustawi wa taifa....
Kutofautiana katika kujenga ni bora zaidi. Tusichukulie kupinga zaidi ya kuboresha.
 
Hatuna muda wajameni wa kusikiliza hizi takataka za kipumbaf. Kaeni na mawazo yenu muwaeleze wake zenu majumbani kwenu. Tunachojua tumepigwa na tumepigwa kweli na mijizi hii. Hatuna msalie mtume hapa. Ni lazimatuwe na mawazo positive. Leteni mawazo ya kutupeleka mbele na sio hayo yenu ya kusaidia kumuwazia muwekezaji. Ulofa huo.mods futa takataka hii

Ushamba ni kuamini Mawazo yako yanapaswa kuwa ndio Mawazo ya Watu wote!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom