Huku ni kudhindwa kwingine kwa rais wetu unawezaje kumteua Jaji wa Mahakama ya Rufaa kuwa AG hii ni kuingilia Uhuru wa Maahakama. jambo hili halifai JK anaweka precedent mbaya. ma-ptoffessor wa kibongo nao hawana dira za maisha yao, ndio maana wanaishia kutumika na wanasiasa na kutupwa nje.
uanachama wa TLS sio wa muungano hii ni ya Tanganyika. Zanzibar wanacho chama chao kinaitwa Zanzibar law Society (ZLS) kila chama kina taratibu zake za uanachama.
Mi nadhani mtu mzima mpaka anazira kutakuwa na jambo limemkwaza, na wengi wa wanaozira huchukua hatua hii kama suluhisho (angalau la muda) kuweza kuji-relieve na ile hali ya kukwazika na wakati ni kuepuka ugomvi zaidi.kwangu mimi simshangai anayezira,. After all mtu aliyezira akimbembelezwa...
Mleta mada anaonekana kuwa na hasira hivi. Je inawezekana kweli ana uchungu na huo anaouita ufisadi au kuna la zaidi ya hapo? Nashawishika kuamini kuna zaidi ya kuchukia ufisadi ndio maana uzi wake uko kishari zaidi. <br>Pole sana kama jamaa alikuzidi akili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.