Wakuu nahitaji msaada mwenye uelewa wa masuala ya computer, nina mashine yangu laptop nilikuwa naifanyia activate windows lakini matokeo niliyoyapata yalifeli kabisa, sasa baasi nikiwasha inawaka lakini haionyeshi zile icon zake.
Inaonesha tu rangi ya blue pamoja na maandishi ya recovery PC...
zege banda linakuwa ni zito kishenzi, labda nafanya hivi naweka ule waya wa mashimo ya choo nauchomelea kwa chini ili kuweza kushika cement itakayowekwa kwa ajili ya vigae au terrazzo floor
ahaaa shukrani sana chifu wangu, na sakafu ya terrazo inaweza ikakaa vizuri kwenye banda la biashara? ambalo kwa chini limechomelewa zile pleti za bati au vigae vinaweza kaa vizuri ?
sawa sawa chifu, msaada tena hivi banda lile la kuchomelea likiwekewa chini zile pleti za bati, vigae vinaweza vikashika katika banda hilo la biashara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.