Je wao wamepata mishahara? Wanaongea tu mambo ya wazee lakini hili halifuatiliwi na serikali kwa sababu serikali ndiyo inafilisi hii mifuko. Ningekuwa na uwezo singekubali hii mifuko ni unyonyaji
Wakati wetu kulikuwa na fursa ya kubadilisha jina ukiwa darasa la saba na hivyo kuanza fomu one na jina ulilotaka. Hii ilitokana na watu waliorudia madarasa kutumia majina ya wale watoro.
Hawa ni wafanyabiashara wa kimataifa siyo lazoma wawe na cash hiyo bali wana rssilimali zinazotosha kukopa hela hizo kutoka mabenki mbalimbali. Lakini ikumbukwe pia hajasema atatoa msaada bali atawekeza kwa manufaa yake. Na watanzania wasipolielewa hili utaona wazalendo wakifukuzwa maeneo...
Tanesco tabata liwiti ni kero kero kero. Wanawaambia wateja waje saa mojs na nusu siku ya jmamosi. Wao wanafika saa nne!! Wanatupotezea muda kwa nini? Rais tumbua majipu haya. Wanafanya kazi kwa mazoea
Mbunge anahitajika kujua kusoma na kuandika. Mnasema ooh hana shule. Tumeona phd za kina Mrema. Uprofesa wa china na korogwe! Hayo ni mapambo tu ya kujikombea leo hii mnaruhusu waalimu waache kufundisha watoto wetu wanakuja kupayuka kwenye siasa. Hiyo phd ya mwakyembe ina tija gani kwenye siasa?
Nijuzeni jamani. Mipaka ya kstikati ya jiji ni ipi? Na nikitoka na gari langu huko pembezoni ya mji nilipaki wapi nitembee kwa miguu au nipande hayo magari ya haraka?
Tcu ni majanga kweli kweli. Wakienda kukagua chuo kipya kinachoomba usajili wanaoneshwa nyumba za watu kuwa ndizo hosteli wanachukua chao wanapasisha kumbe chuo hakina hostel au hosteli zake Nazi kidhi viwango
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.