Recent content by KUTATABHETAKULE

  1. K

    Kwenye hili wakristo mna la kujifunza

    Ila ndoa ambazo hufungwa mwezi huu wa Ramadhan hazina maisha. Baada tu ya kufungua nazo zinafunguka. Ni kama ndoa za kimkataba tu.
  2. K

    GE2025 Hii Media coverage anayofanyiwa Makonda, nyama choma, kubandika mabango na hizi kofia kabla hata ya kampeni ni gharama ya nani? na return ni ipi?

    Hapo Tume ya Maadili inahusika. Kwa bahati mbaya wamelaka usingizi wa pono katika kutimiza wajibu wao. Enzi zile tulikuwa tukijaza utitiri wa fomu ili kueleza mali zote ulizokuwa nazo na jinsi ulivyoipata. Kisha unalinganisha na ya mwaka uliopita na kuonesha ni njia ipi ilikuwezesha kupata mali...
  3. K

    GE2025 Polepole, Asante kwa ukweli wako kuhusu kiini macho cha Uchaguzi. Hoja ya tusishiriki, haina tija tena na Uchaguzi Upo!

    Paskali katika ubora wake. Anauma na kupuliza. Anataka kusema lakini hajui aandike vipi na anaishia kuzungukazunguka tu katika mada zake nyingi alizokwisha kuziandika humu jamvini.
  4. K

    Kenya: Huduma za Afya kutolewa bure kwa watu wote

    Bima ya Afya huko Kenya ipo ila inategemea na kipato cha muhusika. Wenye mshahara kikubwa wanalipa bima kubwa zaidi. Ukilazwa hospitalini yakupasa kulipia kwa kutumia hiyo bima. Lakini matibabu ni bure kwa Outpatients.
  5. K

    Rest In Peace Katibu, umetuachia kumbukumbu

    Copyright reserved.
  6. K

    samaki Aina ya GOGO

    Jina lake kama anavyofahamika ukanda wa Ziwa Victoria ni GOGOGO. Kwa bahati mbaya nipo huku mbali na sehemu hizo nashindwa kukutumia picha.
Back
Top Bottom