Yaelekea wote ni mafisadi. Kodi ni million 200. Makubaliano alipe million 24 Ila atapewa demand note na risiti halali ya milioni tatu. Mchezo upo hivyo.
Inasikitisha. Kwa sasa tunapaswa kuwakumbuka ndugu zetu walio hai ambao wanapigania maisha yao yaliyoharibiwa na mvua na mafuriko ili walau wapate nafuu ya maisha. Hao wengine wamekwisha maliza hadithi yao na hawahitaji msaada zaidi. Halafu hili la kuwaenzi viongozi tu na kuwasahau watu wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.