Recent content by KUTATABHETAKULE

  1. K

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Yote sawa ila sikubaliani na hilo la kutoa mali yako yote kwa kanisa ukitegemea ndio njia ya kwenda huko. Hii ni kama hongo tu haija nafasi kwa Mungu.
  2. K

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Hapo kwenye RIP, are you serious!
  3. K

    Jerry Silaa ni mtoto wa Dkt. Slaa?

    Vivyo hivyo kwa riziki na ridhiki.
  4. K

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    Yaelekea wote ni mafisadi. Kodi ni million 200. Makubaliano alipe million 24 Ila atapewa demand note na risiti halali ya milioni tatu. Mchezo upo hivyo.
  5. K

    Mbona hayati mzee Kawawa na Dkt Omari wamesahaulika kabisa

    Inasikitisha. Kwa sasa tunapaswa kuwakumbuka ndugu zetu walio hai ambao wanapigania maisha yao yaliyoharibiwa na mvua na mafuriko ili walau wapate nafuu ya maisha. Hao wengine wamekwisha maliza hadithi yao na hawahitaji msaada zaidi. Halafu hili la kuwaenzi viongozi tu na kuwasahau watu wengine...
  6. K

    Rais Samia asikitika kuona wafanyabiashara wakitumia mbinu kukwepa kulipa kodi

    Yohana, kumbuka pia aliwaagiza watoza ushuru wasizidishe kodi na kuweka cha juu kwa maslahi yao binafsi. Kila mmoja wetu atimize wajibu wake.
Back
Top Bottom