Hapo Tume ya Maadili inahusika. Kwa bahati mbaya wamelaka usingizi wa pono katika kutimiza wajibu wao. Enzi zile tulikuwa tukijaza utitiri wa fomu ili kueleza mali zote ulizokuwa nazo na jinsi ulivyoipata. Kisha unalinganisha na ya mwaka uliopita na kuonesha ni njia ipi ilikuwezesha kupata mali...
Paskali katika ubora wake. Anauma na kupuliza. Anataka kusema lakini hajui aandike vipi na anaishia kuzungukazunguka tu katika mada zake nyingi alizokwisha kuziandika humu jamvini.
Bima ya Afya huko Kenya ipo ila inategemea na kipato cha muhusika. Wenye mshahara kikubwa wanalipa bima kubwa zaidi. Ukilazwa hospitalini yakupasa kulipia kwa kutumia hiyo bima. Lakini matibabu ni bure kwa Outpatients.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.