Recent content by KUTATABHETAKULE

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini

    Hakuna lolote, sana mechelewesha haki.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Serikali iongeze umri wa kustaafu Kwa baadhi ya kada kutoka miaka 60 ya Sasa mpaka 65

    Hoja yako ni nzuri ila kwamba nafasi zao zinakuwa vigumu kuzibwa si sawa. Sasa hivi kada hizo mbili zina vijana wengi tu wanaozurura mjini kwa kukosa ajira. Ili hawa vijana wapate ajira ni vyema hao waliofikisha umri wa kustaafu wafanye hivyo ili wapate muda wa kupumzika na kuwalea vyema...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili wakristo mna la kujifunza

    Ila ndoa ambazo hufungwa mwezi huu wa Ramadhan hazina maisha. Baada tu ya kufungua nazo zinafunguka. Ni kama ndoa za kimkataba tu.
  4. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hii Media coverage anayofanyiwa Makonda, nyama choma, kubandika mabango na hizi kofia kabla hata ya kampeni ni gharama ya nani? na return ni ipi?

    Hapo Tume ya Maadili inahusika. Kwa bahati mbaya wamelaka usingizi wa pono katika kutimiza wajibu wao. Enzi zile tulikuwa tukijaza utitiri wa fomu ili kueleza mali zote ulizokuwa nazo na jinsi ulivyoipata. Kisha unalinganisha na ya mwaka uliopita na kuonesha ni njia ipi ilikuwezesha kupata mali...
  5. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole, Asante kwa ukweli wako kuhusu kiini macho cha Uchaguzi. Hoja ya tusishiriki, haina tija tena na Uchaguzi Upo!

    Na kweli, hujui anakwenda mbele au anarudi kinyumenyume!
  6. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole, Asante kwa ukweli wako kuhusu kiini macho cha Uchaguzi. Hoja ya tusishiriki, haina tija tena na Uchaguzi Upo!

    Paskali katika ubora wake. Anauma na kupuliza. Anataka kusema lakini hajui aandike vipi na anaishia kuzungukazunguka tu katika mada zake nyingi alizokwisha kuziandika humu jamvini.
  7. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Huduma za Afya kutolewa bure kwa watu wote

    Bima ya Afya huko Kenya ipo ila inategemea na kipato cha muhusika. Wenye mshahara kikubwa wanalipa bima kubwa zaidi. Ukilazwa hospitalini yakupasa kulipia kwa kutumia hiyo bima. Lakini matibabu ni bure kwa Outpatients.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Rest In Peace Katibu, umetuachia kumbukumbu

    Copyright reserved.
Back
Top Bottom