Recent content by Kusuma

  1. K

    Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

    Nilijua tu lazima ushituke mana ushashikwa takoo hapo, we ni kapumbavu huna hoja umekazana tu hana uwezo.
  2. K

    Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

    Unaulizwa kipaji ni nini unaruka ruka
  3. K

    Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

    Haka kapumbavu kanatafuta tu attention huku, hakuna ka Huyu dogo kaja kutafuta attention tu huku, anataka aonekane uzi wake una pages nyingi jinga sana.
  4. K

    Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

    Mbeya vijijini tumefanyaje mkuu? Mbona huku tuna afya njema kabisa hakuna issues za utapiamlo na tunazaliana kawaida sana.
  5. K

    Familia nzima yawa Watawa

    Utaendelea kufumuliwa linda hizo ukiendelea kuongelea ovyo wanaume.
  6. K

    Familia nzima yawa Watawa

    Wewe walishawahi kukufira?
  7. K

    Picha Ofisi ya Chadema Iliyogharimu Milioni 117 "Huu kama sio upigaji ni nini"?

    Umoja wa vichaa CCM( UVCCM) hapo unasubiri posho kwa Shaka.
  8. K

    Picha Ofisi ya Chadema Iliyogharimu Milioni 117 "Huu kama sio upigaji ni nini"?

    Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe bangi mbaya sana aisee.
  9. K

    Mahakamani kuna siri gani? Niliwahi kwenda kwa Mganga wa Kienyeji ili Hakimu na mashahidi washindwe kuongea au kuzungumza Mahakamani

    Hivi Ndyeki mkuu ni nini maana kuna mlima kama unatoka Mbalizi kwenda umalila unaitwa Mlima Ndyeki una height ndogo tu ila zamani ulikuwa maarufu kwa kusababisha ajali.
  10. K

    Kumbe manara hakua pekee yake?

    Kavae jezi yako ya uto halafu kakae kwenye jukwaa wanalokaa mashabiki wa simba uone utafanywa nini?
  11. K

    AZAM MEDIA hakikisheni watangazaji wenu (Baraka mpenja,Patrick Nyembera n.k) wanapata elimu ya msingi kuhusiana na michezo wanayoitangaza mubashara

    Hawajui wakazi wa umalila tunavyopata raha Baraka akianza kutaja mitaa yetu ile, wakae kwa kutulia.
  12. K

    AZAM MEDIA hakikisheni watangazaji wenu (Baraka mpenja,Patrick Nyembera n.k) wanapata elimu ya msingi kuhusiana na michezo wanayoitangaza mubashara

    Sema kwa upande wako sio mtangazaji bora kana kwamba kuna reaserch umefanya popote ukapata maoni ya wengi.
  13. K

    AZAM MEDIA hakikisheni watangazaji wenu (Baraka mpenja,Patrick Nyembera n.k) wanapata elimu ya msingi kuhusiana na michezo wanayoitangaza mubashara

    Tuachieni mwamba wetu wa umalila. Azam media hawajakurupuka tu kumpa mechi nyingi yeye kuliko jamaa yenu Ghalib, mkitaka hizo mnazoziita fact subirini akipangwa Ghalib
Back
Top Bottom