Recent content by KusiniKuchele

  1. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    muulize vizuri baba ako
  2. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Yaani alinambia ni msukuma wa Runzewe ndani ndani kule nimekisahau kile kijiji.
  3. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Tafuta my previous post sio unakuja na conclusion zako za kufikirika. Unamvumilia muuaji ili iweje
  4. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Na mama ako nae ni single mother mkuu. Au dada ako.
  5. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    UJUAJI🫡 hii kwao ni 10/10😃
  6. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Huwa wanajua kuoa wake hata tano. Watoto kila mahali😃
  7. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    😀😀😀 sio huyo kuna mmoja hivi alinipeleka hatari
  8. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Sio lazima unielewe, akinielewa Mungu inatosha
  9. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    HAbari za muda huu wana JamiiForums. Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa afya njema na uzima wa kiroho na kimwili. Leo nimekuja kuwashukuru walio niadvice kwa busara zao na kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kutoka kwa ile toxic relationship since September 2025. Nilipambana sana pia kufanya...
  10. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wanaona ugumu kumsifia mwanaume mwezie kama kapendeza au ni mzuri?

    Mwanamme ana mengi ya kusifiwa sio habari za muonekano bro
  11. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Mkataba wa Amani kati ya Congo na Rwanda, Tanzania tumewekwa kando?

    Ni huzuni kwakweli. Mama Tanzania😭
  12. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Kumtetea mtu mwenye akili kama yako inahitaji nguvu sana.
  13. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Sababu gani hupelekea watu kujenga na kuishi juu ya milima katika jiji la Mwanza? Maisha ya makazi huko milimani huwa yakoje?

    Njooni hapa mnaoishi Igogo na Mabatini mtoe maelekezo ya jinsi mnaishi huko juu ya majabali
Back
Top Bottom