Recent content by KusiniKuchele

  1. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Mkataba wa Amani kati ya Congo na Rwanda, Tanzania tumewekwa kando?

    Ni huzuni kwakweli. Mama Tanzania😭
  2. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Kumtetea mtu mwenye akili kama yako inahitaji nguvu sana.
  3. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Sababu gani hupelekea watu kujenga na kuishi juu ya milima katika jiji la Mwanza? Maisha ya makazi huko milimani huwa yakoje?

    Njooni hapa mnaoishi Igogo na Mabatini mtoe maelekezo ya jinsi mnaishi huko juu ya majabali
  4. KusiniKuchele

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    nikupe ni sasa weeee maaaama....kadiri kasimba :D :D
  5. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Marufuku ya Makonda kwenda US, UK, Australia & Canada

    viunga vya Forodhani kwa wala urojo :D :D :D
  6. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Mama Mwenye nyumba wangu anafungulia redio mpaka mwisho NIFANYEJE ahame?

    ila jamani wagonjwa wa akili wako wengi. sasa aondoke kwenye nyumba yake au wewe ndo uondoke
  7. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania GE2025 Joel Nanauka aibuka kidedea kura za maoni CCM, Jimbo la Mtwara Mjini

    Hao ndo Wamakonde, wazee wa Nongwaaaa. Walishaapa hawawezi mpa ubunge mtu miaka 10 mfululizo. Ni package ya 5 kwa 5. Pole sana Mh Mbunge mstaafu MTENGA.
  8. KusiniKuchele

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi mke wangu anajichua

    akiii jamii forums ukifa kwa stress umejitakia :D
  9. KusiniKuchele

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoenda GYM

    Bold that
  10. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Motivation; Jambo gani au changamoto gani ambayo umekubaliana nayo ili kuirudisha amani na furaha maishani mwako?

    Nimekubaliana na kifo cha mume wangu kilichotokea 2023. Nimeamini hawezi kurudi kamwe. Kwa uwezo wa Mungu niko sawa nimeaccept.
  11. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Watanzania Kama KARNE hii tupo hivi nasadiki kusema Mwalimu Nyerere(Baba wa Taifa) alipambana Sana

    Unaweza kutamani kumzaba mtu vibao....sipendi mijadala ya kindezi na mambo ya msingi hawataki kuyajadili.
Back
Top Bottom