Recent content by KusiniKuchele

  1. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Exim Bank Yazidi Kuimarisha Ujasiriamali kwa Wanawake Kupitia WEP 2026

    Mbona tayari wameongeza. Imekua miezi 144 badala ya 132 na riba ni 16%
  2. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Fukuto ndani ya CCM Dodoma linatisha, hali si hali

    Maajabu
  3. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    muulize vizuri baba ako
  4. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Yaani alinambia ni msukuma wa Runzewe ndani ndani kule nimekisahau kile kijiji.
  5. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Tafuta my previous post sio unakuja na conclusion zako za kufikirika. Unamvumilia muuaji ili iweje
  6. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Na mama ako nae ni single mother mkuu. Au dada ako.
  7. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    UJUAJI🫡 hii kwao ni 10/10😃
  8. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Huwa wanajua kuoa wake hata tano. Watoto kila mahali😃
  9. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    😀😀😀 sio huyo kuna mmoja hivi alinipeleka hatari
  10. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    Sio lazima unielewe, akinielewa Mungu inatosha
  11. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania MREJESHO: Hatimaye Nimefanikiwa kumuacha yule mwanamume wa kisukuma

    HAbari za muda huu wana JamiiForums. Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa afya njema na uzima wa kiroho na kimwili. Leo nimekuja kuwashukuru walio niadvice kwa busara zao na kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kutoka kwa ile toxic relationship since September 2025. Nilipambana sana pia kufanya...
  12. KusiniKuchele

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wanaona ugumu kumsifia mwanaume mwezie kama kapendeza au ni mzuri?

    Mwanamme ana mengi ya kusifiwa sio habari za muonekano bro
Back
Top Bottom