Recent content by Kushboy

  1. K

    SoC01 Utawala Bora: Maana, Faida na Changamoto zake

    UTAWALA BORA Utawala Ni mamlaka aliyonayo mtu wa uteule aliyeteuliwa au kuchaguliwa na watu ili aweze kuwa muwakilishi na kiongozi wao katika kushughulikia masuala mbalimbali ya kijamii katika kitengo husika alichopewa inaweza kuwa ni Rais, Waziri Mkuu au Mbunge . Nini utawala Bora? Utawala...
  2. K

    Naombeni usahauri nifanye nini kujikwamua kimaisha, najihisi kuwa kero kwa wazazi

    Wapi upo yaani unaishi wapi nw,,,Kuna Mambo mengi ya kufanya 0759847830 nicheki tuongee
  3. K

    Wazazi Angalieni Watoto Wenu Wanaomaliza Vyuo Vikuu Wamekuwa Kero sana Mtaani

    Mambo ya ajabu???? Not all but some of them Kama ni mwanachuo kweli wa degree hawezi fanya utumbo Kama kweli elimu imemkomboa katika nyanja zote
  4. K

    Mabadiliko ya miamala ya kutuma hela na kutoa

    Siku chache zilizopita limekuwa na sintofahamu juu ya mabadiliko ya viwango vya miamala katika mitandao yote nchini, kupanda kwa miamala ya kutuma hela na kutoa hela Jambo ambalo linaendelea kupamba Moto kwani kila mtumiaji wa simu Jambo hili linampa kigugumizi hasa katika njia au kipengele Cha...
  5. K

    SoC01 Maendeleo ya Jamii

    MADA: MAENDELEO YA JAMII Kwanza kabisa tunapozungumzia maendeleo kwa upana wake zaidi ni like kitendo Cha kuinuka au kuhama kutoka hatua moja kwenda hatua inayofuata au kutoka hatua mbovu kwenda hatua Bora zaidi katika nyanja mbalimbali za kimaisha ya kibinafsi au ya kijamii. Na jamii ni ule...
Back
Top Bottom