Wazazi Angalieni Watoto Wenu Wanaomaliza Vyuo Vikuu Wamekuwa Kero sana Mtaani

Granted Faith

Member
Jul 4, 2021
57
292
Wazazi angalieni vijana wenu wanaomaliza vyuo vikuuu wengi wao wamekuwa kero mtaani unakuta wamemaliza vyuo lakini wanaoamua kubaki kutafuta maisha ila wengi wao wamebaki mitaani kuwa kero tuu hakuna la maana wanalofanya zaidi ya kudanga, wizi na kuchonganisha ndoa za watu wazazi jitahidini kuwa karibu na watoto wenu wakimaliza masomo warudi nyumbani watafute issue ya kufanya kuliko kubaki sehemu alipomaliza chuo na kuishia kufanya vitu vya ajabu na kuwa kero kwa jamiii

Sijui kwanini wazazi wa siku hizi hawako responsible na watoto wao kiasi kwamba watoto wanafanya mambo ya ajabu mtaani

Mzazi akishaona mwanae kamaliza chuo basi hahangaiki nae tena anamuacha ahangaike na maisha bila kujua anafanya nini au anapitia nini very sad
 
Wazazi Angalieni watoto wenu wanaomaliza Vyuo Vikuuu Wengi wao wamekuwa Kero Mtaani Unakuta Wamemaliza Vyuo lakini wanaamu Kubaki Kutafuta Maisha ila Wengi wao wamebaki mitaani kuwa kero tuu hakuna la maana wanalofanya zaidi ya KUDANGA, WIZI na Kuchonganisha NDOA za Watu WAZAZI Jitahidini Kuwa karibu na watoto wenu wakimaliza Masomo warudi nyumbani watafute Issue ya kufanya kuliko kubaki sehemu alipomaliza Chuo na kuishia kufanya vitu vya ajabu na kuwa Kero kwa Jamiii
SIJUI KWANINI WAZAZI WA SIKU HIZI HAWAKO RESPONSIBLE NA WATOTO WAO KIASI KWAMBA WATOTO WANAFANYA MAMBO YA AJABU MTAANI
MZAZI AKISHAONA MWANAE KAMALIZA CHUO BASI HAANGAIKI NAE TENA ANAMUACHA AANGAIKE NA MAISHA BILA KUJUA ANAFANYA NINI AU ANAPITIA NINI very sad
Mambo ya ajabu???? Not all but some of them Kama ni mwanachuo kweli wa degree hawezi fanya utumbo Kama kweli elimu imemkomboa katika nyanja zote
 
Wazazi Angalieni VIJANA wenu wanaomaliza Vyuo Vikuuu Wengi wao wamekuwa Kero Mtaani Unakuta Wamemaliza Vyuo lakini wanaamu Kubaki Kutafuta Maisha ila Wengi wao wamebaki mitaani kuwa kero tuu hakuna la maana wanalofanya zaidi ya KUDANGA, WIZI na Kuchonganisha NDOA za Watu WAZAZI Jitahidini Kuwa karibu na watoto wenu wakimaliza Masomo warudi nyumbani watafute Issue ya kufanya kuliko kubaki sehemu alipomaliza Chuo na kuishia kufanya vitu vya ajabu na kuwa Kero kwa Jamiii
SIJUI KWANINI WAZAZI WA SIKU HIZI HAWAKO RESPONSIBLE NA WATOTO WAO KIASI KWAMBA WATOTO WANAFANYA MAMBO YA AJABU MTAANI
MZAZI AKISHAONA MWANAE KAMALIZA CHUO BASI HAANGAIKI NAE TENA ANAMUACHA AANGAIKE NA MAISHA BILA KUJUA ANAFANYA NINI AU ANAPITIA NINI very sad
Hebu funguka mzee,binti wa chuo kakinukisha?..
 
' kwake yule aliyepewa mengi, yatatakiwa mengi; na yule aliyewekewa amana vitu vingi, atadaiwa vingi zaidi' tunadai Nini kwa mwanafunzi wa chuo kikuu?
Tunadai huduma yake kwa jamii inayolingana na kiwango cha elimu alichonacho, mwanafunzi atatoaje huduma hiyo kwa ulimwengu huu wa ukosefu wa ajira? Basi, ni kwa kushiriki katika shughuli zote za kijamii, kiuchumi , kisiasa kwa nyakati za shida na za mafanikio, na wafanye hivyo bila kusitasita.
 
Back
Top Bottom