Recent content by Kusamburo

  1. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Bank kutuma pesa kimakosa

    Nategemea huenda gawio likaongezeka mbeleni
  2. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Bank kutuma pesa kimakosa

    WAlishanitumia hii mara ya tatu Katika line yangu Na benk ya kwanza mara mbili Na hii ya hivi karibuni ni benki tofauti na ya mwanz mara 1 KIwango hakitofautiani sana kilichotumwa,ni 3k na kidogo
  3. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Bank kutuma pesa kimakosa

    Hili suala ni kweli Hata mm limenitokea mwaka juzi nilipokea mara mbili kutoka benk moja Na wiki iliyopita nimepokea kutoka benk nyengine Tofauti yangu na mtoa mada mm hazioneshi ni za nn Mara ya kwanza nilipigiwa cm,baada ya ushauri wa mtu wa benk,nikaambiwa nisilipe hadi bank iliyotuma...
  4. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

    G+1. Si tatizo kulaza tofali za nch 5,ikiwa pamoja ina surpot ya nguzo?
  5. Kusamburo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

  6. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Chokaa, gypsum powder, wallputy na white cement kwa ajili ya kusafisha ukuta

    nilisha skim ukuta kwa kutumia saruji ya kawaida twiga na kuichanganya na rangi imotion matokeo mpaka sasa ni mazuri maana nyumba nimeikodisha mwaka wa nne sasa bado inaita na nilijaribu ku skim nje tu. niliokoa pesa nusu gharama.
  7. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Maoni ya wadau wa JamiiForums juu ya kusitishwa kwa Bima ya TOTO AFYA KADI

    mimi nimo katika wale wanaosubiria siku 90 za kupewa kadi yangu ya TOTO Kwa ajili ya mwanangu hivi sasa zimesalia siku 25 tu kupewa.
  8. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake. Nakupa saa 72

    bora usilipwe tujue huo udhaifu wao silent
  9. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Nimekuta Milioni 20 imewekwa kimakosa kwenye akaunti yangu

    mm niliwahi pokea kutoka benk kuja ktk cm yangu 500000 mwenye hizo pesa aligunduwa kuwa benk walikosea namba moja akanipigie nimrudishie ila nilipata ushauri kwa watu wa benk kuwa nisimtumie bali niziwache kwa sababu nikimrudishia atawexa lalamika sikumpayia hivyo niliziwacha na nikampigia...
  10. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Watu waliokufa na walio hai, idadi ipi kubwa?

    hivi hata picha hamuoni hebu jiulizeni watu wanapungua ama wanaongezeka?
  11. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Nakufundisha kuhusu binadamu na hulka zetu

    nakubaliana nawewe sasa tufanyeje juu ya hili
  12. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naweza kuua ndege wawili (Plaster na Skimming) kwa kutumia White Cement?

    Nimeskim saruji ya kawaida nikachangaya na rangi imetoka vizuri tu bila tatizo lolote Na pia kama mchangajaji atatumia kipimo kimoja katila kuchangaya baso unapata kitu kimoja safi sana na hutajitaji rangi tena Unapata rangi ya kijivu jivu nzuri tu
  13. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

    huku pemba pia
  14. Kusamburo

    JamiiForums Tanzania Mwanangu hawezi kukaa naomba ushauri wa matibabu

    Unanunua zote kwa pamoja ama nichague kati ya hizi?
Back
Top Bottom