Recent content by Kurmodosla

  1. K

    RC Chalamila: Hakuna Mwanamke aliyedhalilishwa kwenye kamata kamata ya Ubungo, walikutwa nusu uchi mtaani wakabebwa kama walivyo. Sasa watapewa Mikopo

    Kama wanapewa mikopo kwa kuwa wanafanya ukahaba hapo ndiyo wanachochea kabisa ukahaba hata wale waliotulia sasa wanawashawishi waanze kuwa makahaba kwa kuamini kuwa ukiwa kahaba unapewa mkopo ushauru wangu serikali ifanye utratibu wa kuwapa vijana wote mikopo bila kufanya ubaguzi kuwa hawa ni...
  2. K

    Chadema iliyozikwa na Hayati Magufuli imeanza kufufuka, sasa wanaenda Mbeya!

    WanaCHADEMA na watanzania wote wenye akili chanya wanauona umuhimu wa kuwepo kwa CDM mwaka 2015 wakati wa kampeni CDM iliibana ccm hadi ikateua jina la JPM kuwa mgombea urais wakati hakuwa Chaguo lao ila kutokana na presha kutoka CDM hawakuwa option nyingine, ni kutokana na presha hiyohiyo...
  3. K

    PreGE2025 Kwa udhaifu wa rais Samia 2025 ndio itakuwa fursa mujarabu kwa wapinzani kuchukua nchi kwa mara ya kwanza

    Ccm haina historia ya kushindwa kwenye uchaguzi hata kama anayeshindana ni mwanamke
  4. K

    Miaka 3 ya Hayati Magufuli vs Miaka 3 Rais Samia madarakani

    Nakubaliana na ukweli kwamba hakuna ulinganifu kati ya hawa wawili ingawa nafasi ni moja wanayoitumikia kwa sababu uwezo wa mtu ni akili ya mtu na akili ni nywele kila mtu ana zake
  5. K

    2024 uwe mwaka wa Mbowe kuona aibu na kug'atuka. CHADEMA irudi kwa wazalendo kiuhalisia

    Nyiye watu wa chama cha kijani acheni chokochoko na uenyekiti wa CDM na Mbowe hebu shughulikeni na hao wanaoihujumu nchi yetu kwa kukata umeme usiwe stable
  6. K

    2024 uwe mwaka wa Mbowe kuona aibu na kug'atuka. CHADEMA irudi kwa wazalendo kiuhalisia

    Katika hao wazalendo unaofikiri wachukue uenyekiti kutoka kwa mbowe wanaweza kuwa wagumu kama Mbowe hata akibambikizwa kesi na kuishi magereza yuko tuu imara wala hayumbi au unataka kuwapa uenyekiti wale jamaa ambao wakitishiwa kidogo tuu kesho unasikia wanaunga mkono juhudi HONGERA SANA MBOWE...
  7. K

    Je, tutamkumbuka Rais Samia kwa lipi kubwa alilofanya?

    Mkataba wa millennium wa Dp world
  8. K

    Chongolo anapaswa kupongezwa na sio kubezwa wasomi kwenda Veta kupata mafunzo ya ufundi stadi

    Ishu hapa ni hoja iliyotolewa tuichambue tusimchambue mtoa hoja, kiukweli haina maana kuwa na cheti cha chuo kikuu wakati kwa kazi hiyohiyo practically Huna hata uwezo wiwote unashindwa hata na kijana aliyeishia darasa la saba na kwenda veta kupata ujuzi wa kazi za mikono
  9. K

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza apewa wiki tatu na Mwenezi Makonda kuhakikisha Hospitali ya Sengerema Inafunguliwa

    Chama ndiyo kikubwa kuliko mkuu wa mkoa kuliko waziri lazima wawajibike kwa chama
  10. K

    Wana CCM waliomudu nafasi ya Katibu Mwenezi Taifa ni Polepole na Shaka

    Nafasi hii ingemfaa zaidi Jocate she is best young politician
  11. K

    Wana CCM tujibu hoja za kinachoendelea Ngorongoro. Tumeshindwa kujibu kama hoja za TEC?

    Hili la wamasai wa ngorongoro limegawanyika katika maeneo mawili eneo moja ni pori tengefu la loliondo na pili ni hifadhi ya ngorongoro ambako ndiko iliko kreta ya ngorongoro Tukianza na pori tengefu lililoko loliondo hili ni eneo muhimu sana kwa ajili ya ecology ya hifadhi ya serengeti na ni...
  12. K

    Paul Makonda awavuruga CHADEMA hata kabla hajashika maiki na kuunguruma

    CDM HATA ISIPOSHINDA UCHAGUZI WOWOTE ILI MRADI WAPO KWENYE SIASA ZA NCHI HII CCM HAWTAPUMUA HATA KUDOGO.
  13. K

    Tetesi: Mchengerwa, mzee wa "kifua" sasa kaingia figisu!

    Kwenye hili kuna haja ya kujiridhisha kama kinachosemwa ni kweli au limezushwa tuu kwa lengo la kumchafua.
  14. K

    Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

    Tumpe mama nafasi atumie intelijensia yake,ukweli utajulikana tuu
Back
Top Bottom