Recent content by kuntumbyanga

  1. K

    JamiiForums Tanzania Nina shida na mfumo wangu wa fahamu au ugonjwa wa akili

    ndio namsikia vizuri
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nina shida na mfumo wangu wa fahamu au ugonjwa wa akili

    Habari zenu wakuu, samahani, Nina shida Moja hivi ambayo nimeshindwa kumpata mtaalam husika, hivyo nimeona Bora niilete kwenu ndugu zangu eidha mnipe muongozo au mniunganishe na mtaalam husika Kwa msaada zaidi. Nina tatizo nahisi katika mfumo wangu wa Faham kama sikosei, au ugonjwa wa akili...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje waliopata GPA ya 2 wanapata kazi huku waliofaulu zaidi wakiachwa wazurule?

    Kiongozi ukiachilia mbali rafu na rushwa ambazo zinaweza zikamfanya mtu aingie haraka kwenye ajira ila kwa upande mwingine kutokana na mfumo wa elimu yetu GPA na vipimo vingine tunavovitumia katika kupima uwezo wa mwanafunzi umeshindwa kabisa kutoa hali halisi ya uwezo wa mwanafunzi hususan...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

    Nilitaka nisikomment ila nilivoona hii komenti nikasema huyu jamaa ubongo wake wala haujai hata kwenye ukucha wa kidole cha mwisho.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

    Mmetubembeleza wakati wasensa ili tutoe taarifa sahihi, saivi mnazo mmeanza kutunangaaa siooooo!,
  6. K

    JamiiForums Tanzania Serikali yakiri kuachana na madai ya Tsh. Trilioni 360 za Makinikia

    Wivu hauna mwisho mzurii,
  7. K

    JamiiForums Tanzania Haya wana Yanga SC kaandamaneni CAF kwani CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez 'aula' huko

    Mi sijawahi kukuelewa mwamba!! Yaani una thread flani za umbea,,,
  8. K

    JamiiForums Tanzania Haya wana Yanga SC kaandamaneni CAF kwani CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez 'aula' huko

    Wewe ndo yule jamaa uliyesema una followers 117 kwenye greater thinkers!!! Hakiyamunguuuuuu!!!
  9. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mchumba (mwanamke)

    Habari, Nahitaji rafiki wa kike mwenye sifa zifuatazo; Muislam Apatikane mkoa wa mtwara, wilaya masasi, nanyumbu au mtwara mjini Awe mfupi wakati(150-170cm) Akiwa mmakonde itapendeza zaidi Pesa isiwe kipaumbele kwake Mpole kidogo 18-25yrs Asiwe na mtoto Muwazi Hajawahi kuolewa Muelewa...
Back
Top Bottom