Recent content by kuntakinte9320

  1. kuntakinte9320

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Un Pole
  2. kuntakinte9320

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Kabisa mkuu
  3. kuntakinte9320

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Unafanya kazi gani ww??
  4. kuntakinte9320

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Habari wakuu,natafuta mwanamke umri kuanzia 28 mpk 35 asiwe na mtoto maana silei mbegu ya mtu kazi yangu ni daktari(MD)kwenye moja ya hospitali za rufaa hapa Dar alie interested aje inbox.ahsanteni
  5. kuntakinte9320

    JamiiForums Tanzania Dkt. Hezron Lwaitama anaandika

    Acha kukurupuka unafikiria umesoma post aliekufa ni maria au mzee sarungi..acha uzwazwa
  6. kuntakinte9320

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi ya Kata Chamazi inakamata akina mama na kuwalazimisha kulipia hela ya taka ya mwaka mzima

    Mkuu wangu hapa chamazi ni familia ya kambare kila mtu ni tembo wanakamata watu majumbani kwao na mgambo wanawatishia polisi na wala hawawapeleki mfano juzi wamemkamata mdada anaumwa Ulcers na katoka hospital na dawa zake wamemfungia ndani toka saa 4 mpk saa 10 akazidiwa aka collapse wakampeleka...
  7. kuntakinte9320

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi ya Kata Chamazi inakamata akina mama na kuwalazimisha kulipia hela ya taka ya mwaka mzima

    Kaka hakuna anaekataa kulipa ada ya taka changamoto ni kuambiwa kulipa ya mwaka mzima inaingia akilini
  8. kuntakinte9320

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi ya Kata Chamazi inakamata akina mama na kuwalazimisha kulipia hela ya taka ya mwaka mzima

    Habarini wakuu, nina kero kuhusu ofisi za Kata ya Chamazi Magengeni zamani kilipokuwa kituo kidogo cha polisi. Majuzi wamekuwa wakikamata watu hasa wakina mama wanawachukua na bajaji mpaka kata wanawafungia ofisini wanaambiwa watoe elfu 36 za usafi, ukiuliza kosa unaambiwa hujalipa ada ya taka...
  9. kuntakinte9320

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke anahitajika

    Habari natafuta mwanamke umri kuanzia 25 mpaka 30 nahitaji mwanamke wa kuoa nimeajiriwa kazi yangu ni daktari(MD).naishi dares salam
  10. kuntakinte9320

    JamiiForums Tanzania Nauza redio yangu Boss 180 iko Chamazi

    Nuza redio yangu aina ya BOSS mali halali iko chamazi piga simu 0711427984
Back
Top Bottom