Recent content by Kunguru wa Kizungu

  1. Kunguru wa Kizungu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mkuu unataka tuanze kushuka ushuhuda wa nguvu za kiume? Kuna dada nilimpata humuhumu, nikakaa naye kwa mapenzi ya kwenye simu kwa mwaka mmoja, siku tumekuja kukutana nilimchapa bao 17.!! Ndio, sijakosea. [emoji3] Bao KUMI NA SABA kwa SIKU 2 na nusu maana nilimuandalia tour kabisa. Bao ambalo...
  2. Kunguru wa Kizungu

    Mwenye kujua makadirio ya kodi kwa wakala wa M-Pesa

    Naam! Kodi ya leseni ya biashara ya halmashauri.
  3. Kunguru wa Kizungu

    Mwenye kujua makadirio ya kodi kwa wakala wa M-Pesa

    Habari wadau wa JF, Naomba kufahamishwa makadirio ya kodi kwa mwezi kwa mawakala wa huduma za kifedha kwa mitandao ya simu mfano M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k Mfano mtaji wa laki tano kwa wakala huyo. Asante.
  4. Kunguru wa Kizungu

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Niliagiza chaja kwa China Mall pale AliExpress nikakoma. Maximum ilikuwa siku 43, mzigo ulifika baada ya siku 60+. Nilijifunza uvumilivu kuanzia hapo.. [emoji3] [emoji3] Kunguru.
  5. Kunguru wa Kizungu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nilifanya ngono zembe moja ikanigharimu sana, ninachoshukuru sikupata VVU nikaambulia kisonono. Lakini kwa huyu mmama jirani aliyekuja kunisalimia nyumbani nikiwa kitandani (naumwa kisonono) sikufanya kosa tena usiku huo. Ngoja nipate chai nitakuja kujazia nyama kwenye tunda la huyu mama jirani...
Back
Top Bottom