Watoa huduma wanafanya uhuni kuwapiga hela. Double costing sababu NHIF bei ya hivyo vitu wameinclude kwenye procedure. Haiwezekani Bima iweze kugharamia huduma kama dialysis hlf ishindwe kukulipia cannula
Mkuu, hoja yako ya msingi ungeiweka kuwa unashauri Wizara ya Afya izidishe zaidi nguvu kukabiliana na changamoto ya Utapiamlo. Ukiweka hoja yako kusisitiza tuzidishe elimu kwa umma na jitihada nyingine za kukabiliana na Utapiamlo nitamuunga mkono.
Upande mwingine unatakiwa kueleweshwa kuwa...
Huyo Gwajima lipi la maana amefanya akiwa NKM Tamisemi, na alipokuwa Wizara ya Afya. Rekodi ya utendaji wa Ummy, takwimu zinajulikana na kutambulika na watu wote ndani ya Wizara, sekta na Wadau wa Maendeleo.
Sasa kwenye hizo kesi ulizotaja Ummy anaingiaje? Yani daktari afanye uzembe huko kutokana na tamaa yake ya rushwa au kutofuata misingi ya maadili ya taaluma yake halafu aje kulaumiwa Waziri seriously? Shida yetu Watanzania tumeenda shule lakini hatujaelimika.
Sikatai changamoto zipo ila sio za Ummy. Hao wafawidhi na viongozi wa huko na madaktari wanachukua hatua gani? Umesema hapo juu wanafanya upasuaji vibaya ili warudie wapate hela japo sina hakika, sasa hapa analaumiwaje Ummy na sio hao madaktari ndio wakuchukuliwa hatua?
Je wewe pia unalipwa kusema haya? Ufujaji wa fedha unaweza kuusema hapa na kuweka ushahidi (usiniambie MMM kasema). Wajawazito gani wanakufa? Maana takwimu zinaonyesha vifo vimeshuka toka 584 mwaka 2018 hadi vifo 104 kwa kila vizazi 100,000 mwaka 2022. Sekeseke la private hospital kuhusu nini...
Pia FYI hakuna Bima iliyofutwa ni utaratibu wa kuchangia umebadilika kutokana na ustahimilivu wa mfuko. Ni suala ya sayansi inayohitaji upewe shule na wataalam ndio utaelewa sio wapiga kelele wa mtandaoni
Mkuu hata wewe uache uchawa wa MMM. Sababu yale anayoandika huyo mtu wako ni hearsays na maneno ya kuokoteza haweki evidence yoyote. He is just saying. Pia cha kukushauri usikubali kuwa nyumbu wa mtu, jifunze na wewe kusoma na kuchambua vitu usilishwe tu kama tabularasa
Ok Ummy amestructure muundo wa Wizara sina haja ya kukufafanulia in details. Unakumbuka alipokua Gwajima alipotuingiza kwenye nyungu, takwimu za afua za UVIKO-19 zilipokwama, Ummy ndie aliyekuja na mikakati ya kuziinua mpk Tanzania tukashika namba 2 Afrika kwa kufanya vizuri. We tukana kwa...
Mtu yoyote anaweza kusema haya. Huu ni uzushi, JK hakuwa na uwezo wa kuinfluence maamuzi ya JPM, kila mtu anajua hilo hata hiyo Ummy anajua kuwa hakuna kosa angefanya kama kumuomba JK amlobby JPM. Acha wivu na husda kwa mwanamke mwenzio. Ukweli hakuna Waziri amewahi kuimudu hii sekta kama Ummy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.