Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,980
- 14,742
dUh,,,
Je wanabaka au wanasomesha ?mbona hilo siyo geni! RPC mmoja hivi aliwahi kuwa Arusha baadaye Kigoma... alizaa na Secretary wake... huku akiwa ana mke na watoto... waangalie wasije kuwa wanafungua kisanduku cha pandora! Asiye na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe!!
kuna dalili mbaya mno !Kuna nn mnafukua makaburi!!
Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat, hebu wekeni vitu wanangu, wallahi!