Amefariki jana katika hosptali ya General Dodoma baada ya kupata ajali akiwa safarini kuelekea Dar wakati akisindikiza msiba wa mshirika wake ndipo gari alilopanda likapinduka baada ya kupasuka tairi.
Ni mwanzilishi wa makanisa mengi pia amelea wachungaji wengi ambao saiv ni watumishi wakubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.