Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

Muethiopia Tola nafasi ya pili kachoka...Simbu yuko nyuma yake kama 100m
 
alphonce-simbu-from-tanzania-wins-the-standard-chartered-mumbai-2017-picture-id631719960


Mtanzania Alphonce Simbu muda huu kwenye mashindano ya dunia ya riadha ya marathon amefanikiwa kumaliza wa tatu na kujishindia medali ya shaba.

Ikumbukwe kuwa Simbu katika mashindano ya Olympics 2016 alifanikiwa kumaliza wa tano

Mwezi wa kwanza 2017 katika mashindano ya Mumbai Marathon Simbu aliibuka mshindi kwa kumaliza wa kwanza

Katika mashindano hayo ya dunia Mkenya Kirui alishinda kwa kumaliza wa kwanza

Hongera sana Simbu kwa kuipeperusha bendera ya Tanzania vizuri
 
Jamaa ametimua mbio yaani nimefurahi sana kuona mtanzania kajaribu namna hii....Simbu amemweza Kipketer wa Kenya ambaye amemaliza ktk nafasi ya nne...Tanzania is now in the medal table...infact most EA nations except Somalia, Burundi and Rwanda are on the medal table...congrats to the man Simbu!!! a true hero
CqZSHCWWAAAdGTO.jpg
 
Back
Top Bottom