PINDA, SITTA WAENDELEA KUMUHUJUMU JK
Leo mgomo wa madereva wa mabasi na madaladala umeingia siku ya pili ukiendelea kupeleka mateso, maumivu, karaha na majuto yale yale kama ya jana kwa Wananchi.
Mgomo huu unaofanywa na madereva wenye lengo la kupeleka vilio vyao kwa serikali kwenda kusoma na...
PINDA, SITTA WAENDELEA KUMUHUJUMU JK
Leo mgomo wa madereva wa mabasi na madaladala umeingia siku ya pili ukiendelea kupeleka mateso, maumivu, karaha na majuto yale yale kama ya jana kwa Wananchi.
Mgomo huu unaofanywa na madereva kupeleka vilio vya kwa serikali kwenda kusona na kutoa laki 5...
WAFANYABIASHARA ACHENI KUTUMIWA NA WANASIASA KUENDESHA MIGOMO YA KUFUNGA MADUKA
Na Happiness Katabazi
KWA zaidi ya miezi nane sasa baadhi ya wafanyabiashara wenye maduka katika mikoa mbalimbali wamekuwa wakigoma kufungua maduka yao kwa madai mapya kila awamu wanayogoma.
Mgomo wa kwanza...
UTAFITI MPYA LOWASSA AWATIMULIA
VUMBI MEMBE NA PINDA
Matokeo ya utafiti mpya uliofanywa na taaaisi ya Positive Thinkers Tanzania na kutangazwa leo tarehe 29/03/2015 umezidi kumuweka kada wa CCM Mhe.EDWARD NGOYAI LOWASSA katika vilele vya kukubalika kwa makundi yote nchini kuelekea...
Nape unatumika
Nape unatumikia kundi la wanaokutuma na sio Chama cha Mapinduzi.
Nape inatosha kwa Lowassa,Nape bakisha maneno,Nape kwa nini unakosa hofu ya Mungu kwa kuhakikisha wanaokutuma unawafurahisha na kumuumiza Lowassa,Nape bila aibu unasingizia Lowassa anawapa watu vyakula na kuwapa...
Baada ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa serikali kutaka Waziri wa Ujenzi, Dk. John PombeMagufuli achunguzwe, uozo zaidi katika wizara hiyo umezidi kugundulika.
Magufulimwenye doa kubwa katika sakata la uuzaji wa nyumba za serikali amerekodiwa marakadhaa akiwa anachukuwa fedha za rushwa kwa baadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.