Recent content by Kumekucha2012

  1. K

    Mrejesho: Safari ya Arusha - Kigoma kwa kutumia usafiri binafsi

    Tunashukuru kwa sifa kwa watu wa kanda ya ziwa...na mimi naomba nitoe ninacho kijua kwa watu wa arusha moshi mpaka namanaga watu wa huko hawana imani sio wakarimu kabisa wachoyo kama wakenya hawajali wageni wao ni pesa tu mbele..ninavyo waona mimi wame adapt life ya wakenya ..badilikeni bhana...
  2. K

    Wadada, tissue na toilet paper hazitoi uchafu! Tumieni maji mkienda Msalani

    Kuliko kuuliza somali na siria kwanini usiulize wasukuma na makabila mengi tu ya hapa tz wanachamba vp....kingine unaposhangaa watu wanao chamba na toilet p na hawagusi hayo mavi..kwanini usiwashangae asilimia kubwa ya wa tz wanachamba na maji lakini hawaoshi mikono yao nasabuni baada ya hapo...
  3. K

    Mzee Kingunge kazikwa na Katekista na alifanyiwa ibada sio misa

    Na padri akifa hali akiwa na watto na maanisha watto aliye wazaa yy kwa siri anazikwaje?....upuuzi mtupu
  4. K

    Ina maana Kikwete alikuwa hana macho au na yeye alikuwa mpiga dili?

    Wakati wa kikwete hakuwa na madaraka kama ya raisi. Lakini section zote alizo pitia alizinyoosha
  5. K

    Ina maana Kikwete alikuwa hana macho au na yeye alikuwa mpiga dili?

    Utakuja amka si mda mrefu..kubali nchi ilioza na watu walikuwa wana spend pesa za serikali bila mipaka.magufuli kafanya mengi sana ni takupa moja tu la msingi ka kata mirija yoote ya unyonyaji wa fedha za umma ndio maana wengi wana tapatapa na kuita maisha magumu kwa hilo BIG UP MAGUFULI...
  6. K

    Rais Magufuli na Mama Janet Magufuli wamchangia msanii Wastara Sh. Millioni 15

    Acha roho mbaya. Mbona ngwajima mnamchangia na nitajiri.
  7. K

    Soda ni Sumu; Je, TFDA wanafanya nini?

    Duh kweli tuna safari ndefu.... utaniambia hata pombe ni nzuri kwa sababu ingredient yake ni sukari
  8. K

    Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

    Kwa kweli afungwe tuu kama alikuwa anatukana. Kama mwalimu anafundisha nini jamii na wanafunzi wake.
  9. K

    Mawazo mgando: Unakataa kulima ili ukafue nguo Ulaya

    Kwani kuosha viombo na kupokea mshahara mkubwa na kukaa oficin na phd yako na ukapokea madafu yasio kidhi hata mahitaji yako yupi bora. Unapenda sana uwe na hii bahati ya kubeba mabox au kuosha viombo.
  10. K

    Soda ni Sumu; Je, TFDA wanafanya nini?

    Ingia kwenye youtube utapata hiyo link inayo ongelea kuwa soda ni sumu na alikuwa anahojiwa raisi wa cocacola europe akawa hana lakujibu lakini ni kweli soda ni sumu...chupa moja ya soda mnayo kunywa ina zaidi ya vijiko 23 vya sukari na mengine mengi yanayo wauwa tatatibu
  11. K

    Mawazo mgando: Unakataa kulima ili ukafue nguo Ulaya

    Acha kuwa na roho mbaya kijana wacha na wenzako wakatafute bahati zao...anaye lea wazee ulaya ana mshahara mzuri kuliko mwenye phd bongo au hata zaidi ya raisi wa bongo. Kama wewe unamaisha magumu ni kwa sababu huna sheria inayokuruhusu kufanya kazi ulaya ndio maana unabangaiza.
  12. K

    Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Yalisha pita hayo mambo umechelewa pole usijidanganye kabisa kwa sasa. Unless ukifika huko ukate mikono yako na macho uyatowe.
Back
Top Bottom