Recent content by kumchuzi0704

  1. K

    JamiiForums Tanzania Ugali maharage uliitwaje shuleni kwenu?

    Chua tunakomenti wapi?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nadharia yangu namba sita kwanini Mungu kamuumba binadamu juu ya uso wa dunia

    Tuko duniani kujifunza tu. Ni hivi,mwanadamu ni muunganiko wa vitu vitatu( Roho,nafsi na mwili).Roho umaanisha ufahamu,nafsi utambulisho na mwili ndo hii minyama nyama. Roho(Ufahamu)huweza kuwa katika hali mbili(hali kamili na hali isoyo kamili). Ili roho( ufahamu) uweze kufikia ukamilifu wake...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Nadharia yangu namba sita kwanini Mungu kamuumba binadamu juu ya uso wa dunia

    Kuzaliana sio sababu ya sisi kuwa duniani ila ni njia tu ya sisi kuwa duniani.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nadharia yangu namba sita kwanini Mungu kamuumba binadamu juu ya uso wa dunia

    Reality ni hali ya kulifahamu,kulijua na kulielewa jambo kama jambo lenyewe lilivyo( Jambo lenyewe linavyojielewa,linavyojifahamu na linavyojijua)
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nadharia yangu namba sita kwanini Mungu kamuumba binadamu juu ya uso wa dunia

    Kwenye Ubudha hakuna nadharia ya " mwanadamu yupo duniani kumwabudu Mungu" Kwenye Ubudha,tupo duniani ili kupata ufahamu kamili.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hoja na maswali utata kwenye uumbwaji wa mwanadamu katika imani ya Kikristo. Je, wenzetu imani zao zinasemaje?

    Kabla ya kwenda mbali zaidi,kwanza unatakiwa kuelewa tofauti kati ya JINSI NA JINSIA( SEX AND GENDER). Kibiblia ukidoma soma mwanzo 5,mstari wa kwanza hadi wa pili utapata mwanga na ufahamu zaidi juu ya ulichouliza. Kisayansi iko wazi kabisa mana hata topic ya reproduction ya kidato cha tatu...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

    Uelewa wako wa neno KARMA hauko sawa. Ili kuelewa karma unapaswa kuelewa mambo matatu ya msingi( kanuni tatu): 1.KANUNI YA CHANZO NA MATOKEO( CAUSE AND EFFECT) 2.KANUNI YA MABADILIKO( LAW OF IMPERMANENCE) 3.KANUNI YA VYANZO TEGEMEZI( DEPENDENT ORIGINATION) Kwa namna ulivyozungumza ni wazi kuwa...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nimejikuta nachukia kula chakula chochote chenye asili ya Roho, naona kama nafanya ukatili

    Ubudha unafafanua vyema sana juu ya faida na hasara ya kula nyama na umeenda mbali zaidi na kuainisha vigezo ambavyo vinamiwezesha mtu kula nyama na aina ya nyama ambayo inaweza kulowa na mtu.
  9. K

    JamiiForums Tanzania SoC04 Ukitaka kufagia ngazi, anza ngazi ya juu

    U
Back
Top Bottom