Watu mna wivu sana hamtaki watoto wenu wabadili mazingira. Unataka muda wote wakae huko buza tu.
Lakini hapo Posta hasa eneo la bunge primary kuna nini cha maana ambacho kitazuia watu wasifanye kazi zao.
Kwangu naona hapo watoto wanapata exposure na kuwapa motivation
Hiyo itakaa sawa maana hata mke wangu alivyopata mimba ya kwanza kila alichokuwa anakula ni kutapika ikafikia tukawa tunalala na ndoo pembeni, ikaenda mbali zaidi akawa anatapika mpaka damu.
Alikonda mpaka akakosa nguo ya kuvaa hii hali ilinichanganya sana .
Ila baada ya miezi minne alianza...
Kwanza utaratibu mbovu sana wa kupiga kura maana hawakuwambia watu kipindindi wanajiandikisha wakariri sirial namba zao hii imepelekea watu kufika kituoni kushindwa kupiga kura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.