Recent content by Kulwa Paschal Martin

  1. Kulwa Paschal Martin

    Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

    Ushauri Mzuri sana Mkuu... Appreciate 👍✊
  2. Kulwa Paschal Martin

    Haudaiwi chochote na girlfriend wako

    Well said Comrade. Jambo ni Lile Lile siku zote..... Thamani inaanza kwako kabla ya kutoa kwa wengine. Kuna wakati tunaumizwa ni kwasababu tuliwapenda na kuwathamini wengine kabla ya kuzithamini na kujipenda wenyewe kwanza. Kitabu kitakatifu kinasema. Yakobo 2:8 "Wapende wengine kama...
  3. Kulwa Paschal Martin

    Kwa wenye nia ya kuwekeza na soko la hisa D.S.E

    Ukianzisha Uzi nitag mkuu.... Hivi vitu muhim sana
  4. Kulwa Paschal Martin

    Nahitaji kuchukua mkopo wa miaka minne niwekeze kwenye cryptocurrency

    Nimependa ushauri wako mkuu. You are not bias but logical and straight to the fact without despise or sarcasm.....
  5. Kulwa Paschal Martin

    Nimechoshwa na toto langu la kiume wivu umezidi kwa mama yake

    Fukuza kabisa, liende kijijini kwa Bibi yake😀😀😀😀
  6. Kulwa Paschal Martin

    Nimechoshwa na toto langu la kiume wivu umezidi kwa mama yake

    Nimecheka sana..... We Jamaa😀😀. Mwisho wa kudeka umekufikia, muachie mwanao tu, Mwisho wa siku mtapigana Mapanga, Muuwane😀
  7. Kulwa Paschal Martin

    Marafiki zetu mtusamehe sana

    Watusamehe sana ila Bado mpo akilini na Moyoni Mwetu, TUNAWAPENDA na kuwathamini sana. #Our Real G🥇
  8. Kulwa Paschal Martin

    Uzi maalumu wa kuwa enzi marafiki wa ukweli ambao hatuwezi kuwasahau kamwe!

    Nimekumbuka kitu...... Kwetu Mimi ni wa kwanza (First Born), Nilikutana na Bro mmoja Msukuma anaitwa Masumbuko Mabula, alinitunza sana na nilijiona kuwa yeye ni kaka yangu, maana nilikuwa sina mtu ninae muangalia Wala kumuombea Ushauri as Brother. Sekeseke la Magufuli (Vyeti feki), lilimkuta...
  9. Kulwa Paschal Martin

    Uzi maalumu wa kuwa enzi marafiki wa ukweli ambao hatuwezi kuwasahau kamwe!

    Hii ndo maana halisi ya Urafiki.... Ila nadhani kwasasa, marafiki wa kweli ni wachache sana. Ukimpata mmoja mtunze... #Real G.
  10. Kulwa Paschal Martin

    SoC04 Walimu ni tunu ya taifa, tuwathamini

    UTANGULIZI. Walimu wamekuwa chachu na msaada mkubwa sana katika taifa letu, kwani wao ndiyo daraja la mafanikio ya watu wengi, tunakubaliana kuwa, walimu wamekuwa kama wazazi/walezi wetu na kuna muda wanachukua jukumu la kutuwajibisha ili kuhakikisha tunakuwa watu bora zaidi katika jamii...
  11. Kulwa Paschal Martin

    SoC04 Matumizi fanisi katika teknolojia ya kidijitali ili kuchochea ukuaji wa mfumo wa elimu Tanzania (e-Student App)

    UTANGULIZI. Taifa lolote ili liendelee linahitaji watu ambao watapandikizwa elimu sahihi, Elimu sahihi inajengwa na mfumo bora wa elimu. Kulingana na ulimwengu tuliopo sasa ili kupiga hatua tunahitaji matumizi ya sahihi ya kiteknologia katika mfumo wa elimu ili kuchochea ukuaji wa elimu yetu...
  12. Kulwa Paschal Martin

    SoC04 Vituo vya huduma jumuishi ni mwarobaini tatuzi wa kero za wananchi (One Stop Service Center)

    Chanzo: Safari Media VITUO VYA HUDUMA JUMUISHI. Ni namna ya kusogeza huduma karibu na wananchi. Ni mjumuiko wa taasisi/mashirika ya kiserikali na binafsi katika eneo moja ili kutoa huduma kwa jamanii/wananchi. Mfano BRELLA, WCF, MANISPAA/HALMASHAURI, NIDA, TRA, NSSF, RITA, HESLB, IMMIGRATION...
  13. Kulwa Paschal Martin

    SoC04 Mambo ya kuboresha katika Jiji la Dodoma ili kuleta taswira ya makao makuu ya nchi

    UTANGULIZI. Dodoma ulitangazwa kuwa mji mkuu wa Tanzania na mwasisi wa taifa hili mwalimu JK Nyerere mwaka 1973 na Rais JP Magufuli alitoa amri ya serikali kuhamia Dodoma mwezi Julai 2016 wakati alipopewa wadhifa wa mwenyekiti wa chama tawala, Chama Cha Mapinduzi/CCM. Rais John Pombe Joseph...
Back
Top Bottom