Wasahili tunasema rafiki yako wa dhati utamjuwa wakati wa shida, hivyo ITV tusiwazonge kihivyo cha msingi kifo cha Steven Kanumba tumekwisha sikia na hakuna asiye jua Kanumba kisha kufa.
Mungu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe AMINA.
Watanzania wote poleni kwa kuondokewa na kipenzi cha wengi Steven Kanumba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema amina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.