Recent content by kulwa james

  1. K

    Je ni kweli form five second selection 2017/18 imetangazwa?

    Zmeshatoka, ingien tamisemi mtaziona Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Je ni kweli form five second selection 2017/18 imetangazwa?

    Mwez wa9 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. K

    Apk ya Dream League soccer 2017

    Haujui jins y kuhack dream league?! Mbn smpl san bob Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Ukweli: Umaarufu wa Mtoto wa Diamond ( Tiffah) Umeporomoka

    Aaah wap, tiffa ndye star mtoto Africa nzima Sent using Jamii Forums mobile app
  5. K

    Je ni kweli form five second selection 2017/18 imetangazwa?

    Kwa mda huu bado wizara iko inaendelea na zoezi la kuzipanga hzo shule Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Majina ya second selection yanapangiwa shule lini?

    Umeskia wap kk, mbn wengne wanasem n mwez huu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    Majina ya second selection yanapangiwa shule lini?

    Amna naskia znatoka mwez wa8 ila kama jina lako limo kweny second selection maan majna yalishatoka Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    Mwana FA & AY acheni utapeli, hamna miziki yenye thamani ya Bilioni 2.1, Tigo gomeni

    Huo ndo wivu sasa, wacha walipwe kwann hutaki watajirike? Muziki ni kaz jombaaa usione mond anapesa zile nyimbo zake znatumiwa na voda na analipwa pesa nyingi tu nahis tokea aanze hyo billion ishafka Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Millardayo.com Mbona imeporomoka sana kutoka Rank Ya Alexa Kutoka Top Kwa Tanzania hadi 7000

    App yenyewe ina ads nyingi hadi inaboa, mm nishaifuta Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Majina ya second selection yanapangiwa shule lini?

    Wakubwa nilkuwa naomba kwa anayefahamu lini form five second selection anisaidie kwa maana walitoa majina tu ya ambao watachaguliwa lakin shule hazijapangwa, So nilikuwa naomba kufaham n lin ztatoka ili wengine tusome ata tution huku tunasubiri Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom