Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 nina elim ya kidato cha nne nazungumza lugha kingeleza na kiswahili
Naomba mwenye kujua ama kusikia ama kuhitaji fund umeme wa majumbani na viwandan nipo vizuri ninauzoefu wa miaka miwili na nusu sasa
Naoatikana kibaha mwendapole kwa mawasiliano...
Habary jaman samahani sana kama nitakuwa nje kidogo ya mada
Mm ni kijana Ni fundi umeme wa majumbani na viwandani
Nina uzoefu wa miaka miwili na nunu kiwandan na pia miaka mitatu kwa umeme wa majumbani nipo vizuri na napatikana kibaha
Nafanya kazi popote pale itakapo patikana
Napatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.