Ukiwa hun dini yako ustarabu wako na utamaduni wako inapunguza Hali ya kujiamini,usipojiamini unakosa fikra bunifu na mwishowe unakuwa Hali ya kuwa tegemezi hata kana una kateknolojia Kako hukaamini, unajiona duni huwezi kwenye maeneo ya tiba mavazi mitambo kazi yako unakuwa kusubili waanzishe...
Tatizo la waafrika ni kukataa asili yao kupitia mafundisho ya dini na elimu ya kigeni,
Mungu aliwaumba wachina, wakorea na wajapani na wahindi na wapo wanapambana na maisha kupitia Mila desturi dini na ustarabu ambayo Mungu aliwaumba NAO. Kila siku wanasonga mbele
Dini tunamekopi za watu...
Sijui na wenzetu wanawaza kuwapa majina ya kiafrika watoto wao, sijui hata kwao kama majina ni issue ya kujadiliwa
LAKINI ukiwa masikini huku afrika kuna n'gombe WA kizungu kuku wakizungu mbwa wakizungu .Harafu eti majina yanabeba matendo ya wahusika🤣🤣🤣🤣🤣🤣 lakina akina Yuda Hitler tunao na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.