Recent content by kulagha nenga

  1. K

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Yuko vizuri, anajitahidi, hakuna binadamu asiekuwa na mapungufu. Nashauri ashuke huku chini Kwa wakurugenzi Kuna madudu ya hatari kwenye hizi halimashauri zetu
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    LAKINI ndo waziri Mkuu wako kubali kataa
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    Sio rahisi hivyo
  4. K

    JamiiForums Tanzania Afrika inapitia kwenye darasa bora kabisa la msamiati wa neno "demokrasia"

    Soma Uzi, sisi waafrika wazungu na Waasia wanatuchukuliaje Misukule binadamu au sokwe aliechangamka
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu na Waasia huwa wanatuchukuliaje sisi waafrika.

    Kwanini tusiitumue sayansi ya kusafiri kwa ungo kushangaza ulimwengu
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu na Waasia huwa wanatuchukuliaje sisi waafrika.

    1. Viongozi wakiafrika wanaiba Pesa kwao harafu wanaenda kuziweka kwenye mabenki ya ulaya na Marekani. Kichekesho nchi hizo hizo zinaenda kuomba mikopo huko.wanachofanya ni kutukopesha Pesa zetu zilizofichwa huko na viongozi wetu. 2. Rais wa inchi anaishi ulaya kwa kodi za wananchi wake nchini...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Tito yule ni kichaa huwezi kumtukana kiongozi wa nchi vile harafu ukabaki salama.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Ingizo jipya, karibu komredi
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Wee umezaliwa juzi fuatilia nyuzi humu Magufuli alikosolewa nataasisi zote za kikristo , wewe ndo unamtazamo wakidini
  10. K

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Wewe unajua alichosema, basi waeeleze wengine, chuo ni chachu ya mabadiliko ya fikra ndo maana kuna mijadala
  11. K

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Kosa lake nini mpaka umchukie hivi
  12. K

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Leo mahakamani kwenye kesi ya mchongo ya TUNDU LISSU..soma hapa

    Hapa imetumika akili kubwa sana, Kuna watu wameumbuka
  13. K

    JamiiForums Tanzania CCM waliomba kanisa Katoliki kuwaleta CHADEMA katika meza ya maridhiano!

    Ni kweli ni kwasababu wote wanazungumzia haki, hata rais marehemu ally Hasani Mwinyi alisomeshwa na wakatholiki , Papa kiongozi wawakatholiki amejenga uhusiano mzuri na viongozi wa kiislamu duniani
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Ila hayo ni mawazo yako. Au unajaribu kuhamasisha udini
Back
Top Bottom