Yuko vizuri, anajitahidi, hakuna binadamu asiekuwa na mapungufu. Nashauri ashuke huku chini Kwa wakurugenzi Kuna madudu ya hatari kwenye hizi halimashauri zetu
1. Viongozi wakiafrika wanaiba Pesa kwao harafu wanaenda kuziweka kwenye mabenki ya ulaya na Marekani. Kichekesho nchi hizo hizo zinaenda kuomba mikopo huko.wanachofanya ni kutukopesha Pesa zetu zilizofichwa huko na viongozi wetu.
2. Rais wa inchi anaishi ulaya kwa kodi za wananchi wake nchini...
Ni kweli ni kwasababu wote wanazungumzia haki, hata rais marehemu ally Hasani Mwinyi alisomeshwa na wakatholiki , Papa kiongozi wawakatholiki amejenga uhusiano mzuri na viongozi wa kiislamu duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.