Recent content by kulagha nenga

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwa hizi kashfa zinazoendelea, itakuwa ngumu sana kiongozi Mchaga kukubalika

    Lema alipaswa kukaa kimya kipindi hiki harafu huko kwenye vikao vyao wangepambana
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Viungo vinajiweka. vyenyewe kwenye hivyo vyombo
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwa Tukio Hili Yanga Sijui Kama Atakwepa Rungu la CAF

    Mechi umeshinda hicho kilichofanyika nini ili iweje. Yaani hii nchi Kila Kona ni matukio machafu .Huko nje wanatuonaje
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwa Tukio Hili Yanga Sijui Kama Atakwepa Rungu la CAF

    Acha ujinga,
  5. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya’s Maize Shortage

    Njooni Tanzania yapo mengi songea bei ni tsh 40000
  6. K

    JamiiForums Tanzania Lema amefanya jambo jema, japo....?

    Good and well, angesma TU ninampa pole mh rais Kwa kufiwa na mumewe ambaye kiutaratibu ndie baba WA Taifa Kwa sasa
  7. K

    JamiiForums Tanzania Je, Huu Ni Mwisho wa Ushirika wa CHADEMA na Wanaharakati?

    Ni ugomvi WA sativa na lema CHADEMA muwe makini. Isipokuwa nyie CHADEMA wakati mwingine mmna mihemuko. Mambo ya watu wawili mnayakuza. Kwani kumpa pole mfiwa Kuna shida gani. Kama zomekosewa protokali nimambo yenu ya ndani.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Je, Huu Ni Mwisho wa Ushirika wa CHADEMA na Wanaharakati?

    Hili ni jambo dogo., Kila mtu anaaccess na kiongozi WA umma kwani DG WA tiss ana shida gani? Hapo naona lema kachemka angemjibu SATIVA. Toka muda Sasa yeye na sugu wana mwona Heche kama kikwazo kumfikia malengo yao. Hatujui wana mpango gani
  9. K

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    Wakati mwingine sisi wenyewe tunakuwa na lugha za kukera Kwa askari, unanijua Mimi nani.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    Unamwambia Askari Mimi ni daktati nawahi kazini na kitambulisho unamwonyesha Kwa nyodo anakujibu hata yeye yupo kazini hapo unafanyaje?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Kabisa na vitu vya kupika ndani vipo
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Hao mnaowaiga wanawake Kwa wanaume wanapika
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Unatetea uzaifu wadada zako
Back
Top Bottom