Recent content by kulagha nenga

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwabeza kwenu single mother hakutuzuii kujivinjari nao

    Shida mnatembea nao harafu hamuwaoi. Hapo nikuwaongezea stress tu
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza Vacation na familia yangu

    Pesa inasadia kuleta furaha, LAKINI sio wakati wote na sio kila kitu. 1.Umepata vihela vyako unamwambia bebi wako anakuambia hataki kuolewa Kwa Sasa kumbe yupo na bodaboda, hapo unemnunulia vizawadi vya gharama. 2 una Pesa za kutosha LAKINI umepigwa marufuku kutumia vyakula vya sukari sijui...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Katika ulimwengu WA Sasa nivigumu kuepuka uwekezaji kubwa ni kaangalia sisi kama nchi tunafaidikaje
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kyela: Boniface Jackob avunja rekodi ya Dkt Slaa na Lowassa, Mkutano wake wasababisha wananchi kukanyagana ili kugombea nafasi, hakuna aliyekufa

    Kuwa na watu wengi Mkuu, ni vema nawao wakawepo wengi, wapinzani pia ni nyinyi mnamengi
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kyela: Boniface Jackob avunja rekodi ya Dkt Slaa na Lowassa, Mkutano wake wasababisha wananchi kukanyagana ili kugombea nafasi, hakuna aliyekufa

    Ni kweli LAKINI kama hutukani watu huzushi mambo huhamasishi fujo uoga wanini
  6. K

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kariakoo yapo usiku wa manane tu, mchana hutayaona utadalaliwa tu

    Sio klla bidhaa inauzwa usiku Mimi uzoefu wangu ni Nguo, viatu sendo na mikoba , mimi sijafutilia simu.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kariakoo yapo usiku wa manane tu, mchana hutayaona utadalaliwa tu

    Hiyo ni ukweli mtupu usiku vitu huwa vinashuka bei, nahisi kunawauzaji wengine ndo huwa wanapata nafasi ya kufanya biashara . Au asubuhi sana yaani saa kumi na Moja asubuhi. Muhimu nikuwa makini kwenye kuchagua usijepata lonya au reject
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nampongeza Rais Samia kwa Kuja Russia maana ametufungulia njia vema kujieleza tukaeleweka

    Tumshazoea kusikia na tutasikia mengi Who are you, hakuna utekaji hiyo ni michezo TU, polisi akirushiwa mawe anakutwanga risasi, sisi...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wanaume kwanini tunalazimisha kupendwa. Ndio maana tunanyanyaswa na kuumizwa sana kwenye mahusiano

    Moja ya makosa makubwa ambayo wanaume hasa wakiafrika tuna fanya ni kulazimishwa kupendwa , Unamtongoza mwanamke Kwa ahadi au kutoa Pesa na mali ili akukubalie ombi lako. etii uta mnunulia Nguo nzuri , simu Kali ,sijui akiwa na wewe utawajengea Nyumba wazazi wake. Zote hizo ni jitihada za...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Je, Samia Suluhu hajui kuzima MIC za Urusi? Putin ainglia kati kumsaidia

    Wewe ukitwa Idd Amin utafurahi, inawezekana watoto wenzie au majirani au wazazi mtazamo yao imebadilika kutokana na yanayoendelea
  11. K

    JamiiForums Tanzania Men's talk: unaoa tabia, shape au bikira?

    Sawa LAKINI tukiwagongea msilalamike, unawezaje kutunza ua ndani nyuki wasilimendee Oa LAKINI kubaliana na hali
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ninaunga mkono kutumbuliwa kwa kiongozi mwandamizi tuliyedokezwa na mbunge Sumai

    Sawa mzanzibar, ila WA Tanganyika tunampenda
  13. K

    JamiiForums Tanzania Rais wa TLS: Hata tuende pande zote za dunia ili kujibaraguza; Ukweli unabaki kuwa, ili taifa letu lipone linahitaji mambo 5 tu haya

    Uko sahihi gentlo yaani maoni mnayotoa ni mazuri Sasa yaani haiwezekani kuwawajibisha walioua wale walitumwa kuua wakitupiwa mawe, Sasa kosa liko wapi , ukimtupia mawe polisi utauwawa by kombo, pili nchi iko shwali hakuna utekaji ile ni michezo ya watu by mwigulu, na mwisho who are you by...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Anguko la CCM ni dhahiri sasa

    Jeshi la polisi usalama na tume ya uchaguzi na mahakama zote zetu harafu sisiemu ife we unaota
  15. K

    JamiiForums Tanzania Dunia ya giza nyuma ya kuta za mochwari

    Kaka Mshana wewe ulisomea mambo haya, mbona unayajus sana
Back
Top Bottom