Ni ugomvi WA sativa na lema CHADEMA muwe makini. Isipokuwa nyie CHADEMA wakati mwingine mmna mihemuko. Mambo ya watu wawili mnayakuza. Kwani kumpa pole mfiwa Kuna shida gani. Kama zomekosewa protokali nimambo yenu ya ndani.
Hili ni jambo dogo., Kila mtu anaaccess na kiongozi WA umma kwani DG WA tiss ana shida gani? Hapo naona lema kachemka angemjibu SATIVA. Toka muda Sasa yeye na sugu wana mwona Heche kama kikwazo kumfikia malengo yao. Hatujui wana mpango gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.