Pesa inasadia kuleta furaha, LAKINI sio wakati wote na sio kila kitu.
1.Umepata vihela vyako unamwambia bebi wako anakuambia hataki kuolewa Kwa Sasa kumbe yupo na bodaboda, hapo unemnunulia vizawadi vya gharama.
2 una Pesa za kutosha LAKINI umepigwa marufuku kutumia vyakula vya sukari sijui...
Hiyo ni ukweli mtupu usiku vitu huwa vinashuka bei, nahisi kunawauzaji wengine ndo huwa wanapata nafasi ya kufanya biashara . Au asubuhi sana yaani saa kumi na Moja asubuhi. Muhimu nikuwa makini kwenye kuchagua usijepata lonya au reject
Moja ya makosa makubwa ambayo wanaume hasa wakiafrika tuna fanya ni kulazimishwa kupendwa ,
Unamtongoza mwanamke Kwa ahadi au kutoa Pesa na mali ili akukubalie ombi lako. etii uta mnunulia Nguo nzuri , simu Kali ,sijui akiwa na wewe utawajengea Nyumba wazazi wake. Zote hizo ni jitihada za...
Uko sahihi gentlo yaani maoni mnayotoa ni mazuri Sasa yaani haiwezekani kuwawajibisha walioua wale walitumwa kuua wakitupiwa mawe, Sasa kosa liko wapi , ukimtupia mawe polisi utauwawa by kombo,
pili nchi iko shwali hakuna utekaji ile ni michezo ya watu by mwigulu, na mwisho who are you by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.