Recent content by kulagha nenga

  1. K

    Dini ndiyo 'Software' (KIRUSI) namba moja inayo-Program Waafrika kuwa Masikini wa kutupwa kizazi hadi kizazi

    Ukiwa hun dini yako ustarabu wako na utamaduni wako inapunguza Hali ya kujiamini,usipojiamini unakosa fikra bunifu na mwishowe unakuwa Hali ya kuwa tegemezi hata kana una kateknolojia Kako hukaamini, unajiona duni huwezi kwenye maeneo ya tiba mavazi mitambo kazi yako unakuwa kusubili waanzishe...
  2. K

    Dini ndiyo 'Software' (KIRUSI) namba moja inayo-Program Waafrika kuwa Masikini wa kutupwa kizazi hadi kizazi

    Tatizo la waafrika ni kukataa asili yao kupitia mafundisho ya dini na elimu ya kigeni, Mungu aliwaumba wachina, wakorea na wajapani na wahindi na wapo wanapambana na maisha kupitia Mila desturi dini na ustarabu ambayo Mungu aliwaumba NAO. Kila siku wanasonga mbele Dini tunamekopi za watu...
  3. K

    Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

    Kama benki inatumia reducing formula/ method haiwezi kuwa hivyo kweli riba ni kubwa LAKINI sio Kwa kwakiwango hicho too much chumvi
  4. K

    Kenya yaidhinisha matumizi ya Sindano ya Lenacapavir kama Kinga ya Maambukizi ya VVU

    Huu ni uongo kwanini wadhibiti population ya waafrika na sio wengine ambayo ndo wengi ? Hizo story za wanasisasa WETU uchwara za kuonewa wivu
  5. K

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Mhhhh HIVI ni yeye huyu huyu ndugu yake na mwashamba
  6. K

    Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Anajaribu kulifanya jambo la kifo. Kilicho mkuta huyo Binti lichukuluwe Kwa uzito wake
  7. K

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Hiyo evil regime nini umetoa wapi Israel itaitwaje?
  8. K

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Sio kweli aliombe Sio kweli, na walimwambia akajifiche alikataaa huna unachojua
  9. K

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Unajalipu kuonesha unachotaka kitokeee, yaani kupoza moyo
  10. K

    Wazazi tubadilike, tuache kuwapa watoto majina ya kizamani. Kuna majina yamepitwa na wakati

    Sijui na wenzetu wanawaza kuwapa majina ya kiafrika watoto wao, sijui hata kwao kama majina ni issue ya kujadiliwa LAKINI ukiwa masikini huku afrika kuna n'gombe WA kizungu kuku wakizungu mbwa wakizungu .Harafu eti majina yanabeba matendo ya wahusika🤣🤣🤣🤣🤣🤣 lakina akina Yuda Hitler tunao na...
  11. K

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Mwache ale mema ya nchi, Kila mtuna bahati yake. Ya pole pole aulizwe katambi
  12. K

    Hivi Chadema ina mwanasheria kweli?

    Ila ww utakuwa chizi HIVI ulitangaza kuwa Chadema imekufa, lisu kaiua, chauma umemwachia nani Sasa unazungumzua chadema ipi kiongozi
  13. K

    Hakujawahi kutokea nchini mkufunzi wa dini kama Sheikh Jalala Mwakindenge

    Walokole WA Africa walozoeshwa kukalilishwa wakiiona hii sijui watajisikiaje
Back
Top Bottom