We usifikiri kila mtu kichwa panzi kama wewe labda uko porini huko..barabaraka maelfu kwa maelfu hizo unazoita za Tarura zinachimba mashimo kila siku..Kaangalie barabara ya Legho - ubungo NHC ilivyo na haina miaka mingi,barabara ya Tabata bima- Mawenzi kuanzia pale st marys na nyingi nyinginezo...
Zabuni zimetangazwa toka 2023 ilikuwaje utekelezaji katika miji mingi usuesue kukamilika mpaka kipindi cha karibia na uchaguzi,kama sio siasa binafsi za maslahi ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu oktoba 2025?
Siwezi kuwa na akili mbovu ya hivyo ya kupingana na nature,mfano wako..mm namuamini Allah kawa muumba wa vyote,asiye na mshirika,amnaye hajazaa wala kuzaliwa na hafanani na chochote.. na naamini katika dini ya haki ya uislam inayoendana na maumbile na asili ya mwanadamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.