Recent content by kula kwa tindo

  1. K

    Mke wangu kakutana na EX wake tukiwa pamoja, kafurahi hakuna mfano!

    Tambua waliachanishwa na kazi.. Ila walikua wanapendana.., huenda mwanamke alishindwa kuvumilia Ndio kaolewa na jamaa, Ila X hajaoa na huenda ndoto yake ni kumuoa huyo X.. Usimlaumu kwa kuumizwa na yazamani, Kwani yazamani hugeuka mapya...
  2. K

    Je, Matumizi anayoyakataa Magufuli hayakuidhinishwa na Bunge la Bajeti?

    Mafumbo ni dalili ya woga na kutojiamini
  3. K

    January Makamba acha kutuharibia Amani ya Tanzania kwa uwezo wako mdogo wa kupambanua

    Achana na wapaka Poda hao.. Nchi itakabidhiwa kwa Lowassa kwa maslahi ya Taifa!
  4. K

    Pemba - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Ndg vuta subira... Tezi Dume linakamuliwa
  5. K

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Uzuri tunapewa na picha ya mabandiko kwa Whatsp.. Hayo mpelekee Nape
  6. K

    Polisi wavamia Tallying Center ya UKAWA na kuizima

    Wanamchokoza maMvi live
  7. K

    Uko wapi Dk Wilbroad Slaa? Njoo ushuhudie anguko la Mafisadi

    Mchele Mchele, kidume mpaka shedo
  8. K

    Januari Makamba: Magufuli kutangazwa Rais tarehe 29 oktoba 2015

    Mlogwe kumtangaza Makomeo mshindi muone shughuli sasa.. Mlipiga mkwara mita mia, watu wapo mita 5..
  9. K

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hiyo ilikua njama ya tume, kwani Yule Dada aliomba jina lake lisiwekwe
  10. K

    Ni aibu kwa jeshi la nchi kupigana na wananchi wake

    Kwani kuna wavamizi toka msumbiji? Why vifaa visipelekwe mipakani kulinda amani badala yake vinapelekwa kwa wagema Pombe ya Mnazi?
Back
Top Bottom