Recent content by Kukupori

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dar kumeongezeka sherehe za wakina dada kuwaalika mashoga

    Wanaume hatuna huo muda kabisa aiseee kwanza jitu la hivyo hata hand shake huwezi fanya nae.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mkwe wa Rais wa Misri aliyegeuka kuwa Jasusi wa Mossad

    Dah 😔
  3. K

    JamiiForums Tanzania Gereji za kichina janja janja sana, gari ukiipeleka wanaifowadi gereji bubu au kuita mafundi wa huko, wanachoweza na usimamizi na spare nyingi.

    Nakuelewa sana vifaa vya kisasa kama hauna pesa za kutosha hautaweza kumudu gharama ni zipo juu sana kupita maelezo fundi wa mwembeni hawezi mudu zaidi ya nyundo na chainblock hapo Big hamer haikwepeki. Ila tukienda kwenye gereji za mtaani tukiambiwa Mil 1 una sema nyingi nina laki 5, ila kwa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Gereji za kichina janja janja sana, gari ukiipeleka wanaifowadi gereji bubu au kuita mafundi wa huko, wanachoweza na usimamizi na spare nyingi.

    Kazi zote kuanzia kunyoosha hadi kupiga rangi zote wanafanya wabongo hao wachina ni wasimamizi tuu.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nimemfungulia wife biashara ndogo tu! Ila naona kama ishaanza kumpa jeuri Najutaaa

    Kwenye Kikao kijacho, make sure tuna onana mkuu 🤝
  6. K

    JamiiForums Tanzania Malipo ya parcel posta kutoka nje ya wizi ni hizi mtupu

    Walete tuu huo ujuaji ndiyo maana shirika halifanyi vizuri kwa sababu hawatumii Akili hata percel za ndani tuu hawapati.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Malipo ya parcel posta kutoka nje ya wizi ni hizi mtupu

    Service fee haitazami thamani au uzito,,,,,?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Malipo ya parcel posta kutoka nje ya wizi ni hizi mtupu

    Watuweke wazi tuu maana juzi hapa imenitoka 12k kama malipo ya posta wakati vitu vyote thamani yake kama 14k tuu. ukipiga hesabu pamoja na makato ya malipo almost 30k,,,,,
  9. K

    JamiiForums Tanzania Malipo ya parcel posta kutoka nje ya wizi ni hizi mtupu

    Wanatoza 3k kwa kigezo kipi,,,,? Uzito au thamani percel,,,,?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Serikali ipige marufuku magari haya kuingizwa nchini

    Wengine wana mimba changa sasa mimba zao zimechukia aina za magari.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Adhabu ya kuua na kuchoma moto ilivyomaliza tatizo la wizi eneo la Fokoland na Ndola - Vituka

    Wezi wana rudisha nyuma sana watu ila ndiyo wanao omba ufanikiwe ili waje kuku ibia
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?

    Asante kaka mama ana umia mara zote kikubwa kinacho muumiza sana hadi sasa ni mimi maana bado sija simama ila kwa uwezo wa mungu Insh'Allah nita simama tena kisicho riziki hakiliki.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?

    Asante kikweli miaka imepita sijapoa moyoni bado nina kidonda kisicho pona yaani huwezi amini mama kaacha nyumba yake hapa Dar wakati alikuwa tayari ame pumzika ili bidi aende shamba kulima mahindi tena porini huko nilienda kumtembelea mwezi Dec yale mazingira niliio yakuta mama yangu anaishi...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?

    Si maanishi kuwa kuchukia kwangu kuna leta chochote ila kwa jinsi ilivyo tolewa getini kwa kukokotwa easy sana tofauti na gari kuna muda mtu una chukia kitu hai maanishi kuwa kibaya kwako na wengine iwe hivyo ila kibaya kwako kwa sababu zako
Back
Top Bottom