So nilisikia hapo wana jenga zile Arena 2 kwa mko wa Dar es Salaam moja ingetakiwa iwe KAWE na nyingine maeneo ya MBEZI kimara, wakati nyingine ingejengwa Dodoma.
Sasa wame fikia wapi kuhusu hizo Arena ?!
Ni serikali Ndiyo iliyo jipendekeza kwenye taasisi za kidini. Kuita viongozi kwenye kila hotuba, na kuweka videos za viongozi wa kisiasa kwenye mikutano ya kidini.
Ni serikali ndiyo yenye makosa, ina tapatapa kutafuta kura mpaka makanisani na misikitini.
Mwenyezi Mungu hawezi acha tuu mafisadi...
Ni serikali Ndiyo iliyo jipendekeza kwenye taasisi za kidini. Kuita viongozi kwenye kila hotuba, na kuweka videos za viongozi wa kisiasa kwenye mikutano ya kidini.
Ni serikali ndiyo yenye makosa, ina tapatapa kutafuta kura mpaka makanisani na misikitini.
Mwenyezi Mungu hawezi acha tuu mafisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.