Recent content by KUKU_UFUGAJI

  1. KUKU_UFUGAJI

    Uzinduzi wa kanisa la Mwamposa na maswali ya kujiuliza

    So nilisikia hapo wana jenga zile Arena 2 kwa mko wa Dar es Salaam moja ingetakiwa iwe KAWE na nyingine maeneo ya MBEZI kimara, wakati nyingine ingejengwa Dodoma. Sasa wame fikia wapi kuhusu hizo Arena ?!
  2. KUKU_UFUGAJI

    Ukweli mchungu: Kununua ni bora mara mia kuliko mahusiano

    Assah kuna binadamu hana upwiru jamani
  3. KUKU_UFUGAJI

    Ukweli mchungu: Kununua ni bora mara mia kuliko mahusiano

    Mimi. A wewe tuwe stranger tuwe tuna kutana siku za upwiru tuu
  4. KUKU_UFUGAJI

    Ila baridi, nakula lakini nasikia njaa haraka baada ya kula😃😃....

    We dada ina onekana hata mchezo una penda sanaa.
  5. KUKU_UFUGAJI

    Itungwe Sheria kupiga marufuku viongozi wa dini KUWA wanachama wa vyama vya siasa. Hapa ndipo kosa lilianzia.

    Ni serikali Ndiyo iliyo jipendekeza kwenye taasisi za kidini. Kuita viongozi kwenye kila hotuba, na kuweka videos za viongozi wa kisiasa kwenye mikutano ya kidini. Ni serikali ndiyo yenye makosa, ina tapatapa kutafuta kura mpaka makanisani na misikitini. Mwenyezi Mungu hawezi acha tuu mafisadi...
  6. KUKU_UFUGAJI

    Itungwe Sheria kupiga marufuku viongozi wa dini KUWA wanachama wa vyama vya siasa. Hapa ndipo kosa lilianzia.

    Ni serikali Ndiyo iliyo jipendekeza kwenye taasisi za kidini. Kuita viongozi kwenye kila hotuba, na kuweka videos za viongozi wa kisiasa kwenye mikutano ya kidini. Ni serikali ndiyo yenye makosa, ina tapatapa kutafuta kura mpaka makanisani na misikitini. Mwenyezi Mungu hawezi acha tuu mafisadi...
  7. KUKU_UFUGAJI

    Kwa wanawake-Hivi huwa Mnafanyaje mkigombana na wapenzi wenu halafu upwiru umekushika

    Hautaweza maana utakuwa hauna experience hiyo na utaona2ni kazi sanaaaa
  8. KUKU_UFUGAJI

    Jitengenezee nishati ya umeme wa upepo nyumbani kwako

    TANESCO wata kuacha salama sasa ?!
  9. KUKU_UFUGAJI

    Kwa wanawake-Hivi huwa Mnafanyaje mkigombana na wapenzi wenu halafu upwiru umekushika

    Basi ndiyo maana una jeuri ya kusema hayo yote ngoja jioni ifike kweli
  10. KUKU_UFUGAJI

    AIBU KUBWA SANA: Hawa ndio Wakurugenzi wakubwa wa Makampuni ya mitandao ya simu Afrika Ya Mashariki. Hakuna Mtanzania hata mmoja

    Una jua jina lina maana gani kiroho. ? Au connection gani na tabia ya mtu ?! Muite mwanao cha pombe au shida uone huko mbeleni atakuwaje.
Back
Top Bottom