Recent content by KUKU PORI

  1. KUKU PORI

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Morogoro Dc nije Kibaha Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
  2. KUKU PORI

    Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

    Ni kweli sio kwa upuuzi huu ambao wakati wake uliondolewa Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
  3. KUKU PORI

    Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

    Mnajifanya vichwa ngumu nyie rudia soma ripoti zote za kipindi cha john hayo unayosema yalikuwepo. Mnajizima data sasa hivi wizi wa mali na fedha za umma umekuwa mkubwa mno. Halo CAG amejitahidi kupunguza lkn bado wizi ni mkubwa Hivi kwa akili za kawaida mkataba umesaini na mmekubaliana...
  4. KUKU PORI

    Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

    Hizo 1.5 aliwekeza wapi? Mmesema alipeleka china mara aliweka wapi, fedha nyingi kiasi hicho haziwezi kujificha na kwa namna ambavyo mlimchukia sasa kila kitu mngekuwa mmeweka wazi. Zaidi mmebakia kusema aliiba trilioni 1.5 wakati hizo hela hazijulikani ziko wapi? Tutaamini aliiba mpaka...
  5. KUKU PORI

    Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

    Alipeleka wapi hizo hela, maana trilioni 1.5 ni nyingi mpaka leo huwa najiuliza aliwekeza wapi hizo hela? Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
  6. KUKU PORI

    Hatumchukii Hayati Magufuli ila hatutaki atokee Magufuli mwingine

    Hamtaji aje mtu kama magufuli kwasababu aliwagusa kwenye maslahi yenu na aliwayumbisha mpaka familia zenu zikaishi kwa shida. Demokrasia mnayosema kwasasa ni mbaya kabisa bora kwa John, mnajificha kwenye mwamvuli wa demokrasia huku mnawaibia watanzania, njaa inanuka kila mahali, miradi...
  7. KUKU PORI

    Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

    Mwakyembe alichokifanya ni kuweka wazi jambo hili la ushoga, Haijalishi wewe umelipokeaje na umeelewaje huku mitaani tuliko jambo hili linakuwa na kuongezeka Watu kama ninyi mnatupoteza ili mwakyembe alichosema kionekane cha kijinga hakina maana. Ushoga kwa sasa uko kwa kiasi kikubwa na sasa...
  8. KUKU PORI

    GE2020 Kumbe kuna hatari ya kukosa Trilioni 2 kutoka kwa Wahisani kutokana na Kasoro za Uchaguzi(?)

    CUF Ina wabunge watatu. Hao wanatosha kupewa uenyekiti wa kamati hizo Hakuna wa kumbembeleza mtu mmeshindwa uchaguzi kazi inaendelea
  9. KUKU PORI

    Mamia warejesha kadi za CCM - Kilimanjaro. Umaskini watajwa kama Chanzo cha kukosa imani na chama hicho

    Hivi michezo hii haijaisha kabisa, watu wachache hata mia hawafiki October 28/2020
  10. KUKU PORI

    Hivi ndivyo Katiba ya CHADEMA inavyosema kuhusu Wabunge wake kuchangia chama

    Tatizo sio kuchangia tu tatizo lipo kwenye matumizi ya fedha hizo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. KUKU PORI

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Ungekuwa ni ww ndo dereva unaendesha malori ungeona madhira waliyofanyiwa na KENYA hata ningekuwa mm ningefanya walivyofanya, yaani wao tunawaachia wanakuja huku na kurudi ila madereva wa kwetu wanapimwa alafu wanasubiri majibu kwa wiki mbili kitu ambacho wao hawafanyiwi hivyo Sent using...
  12. KUKU PORI

    Dokezo Jipya: Baada ya Bunge kuvunjwa kuna mafuriko ya wana CHADEMA wanahamia NCCR Mageuzi

    Siasa za vyama vya upinzani Mara nyingi vinaongozwa na kutengenezwa na dola Yanayotokea sasa ni kawaida tu dola inahamisha nguvu toka CHADEMA inapeleka chama kingine 2020-2025 kutakuwa na mseto wa kambi rasmi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. KUKU PORI

    Wabunge wa CHADEMA kurejea Bungeni kuanzia leo

    Sasa wanarejea kwenye eneo ambalo wapo watu ambao hawajapima Ndo shida ya kuona kwamba nyie mnaakili zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. KUKU PORI

    Baby Kabaye na Hassani Ngoma tambueni Chato haina Ikulu ndogo, Ikulu ipo Geita Mjini

    Nini maana ya ikulu? Tuanzie hapo ndo tukosoe Sent using Jamii Forums mobile app
  15. KUKU PORI

    CHADEMA haijafa, na bila muujiza haitakufa kabla ya Oktoba

    Upinzani sio chama ni mawazo kizani tu dhidi ya mawazo upande mwingine CHADEMA hata ikifa upinzani utaendelea kuwepo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom