Jina halitakiwi kufanana kimaana, kimatamshi, au kimaandishi sasa nikiuliza swali la kizushi nini maana ya ELEPHANT kwa kiswahili nipe jibu kimya kimya na ufanano katika name clearance walau uwe ni chini ya asilimia tano unashauriwa hivyo.... au wapigie kituo chao cha miito
zaidi nipe Tafsiri...
Mimi kwa uelewa kiasi wa maswala hayo kama utakaja kusajili jina fulani la Biashara au Kampuni inabidi kwanza ufanya name seach uone kama kuna ufanano au lah kama lipo lilishasajiliwa huwezi kupata... hiyo so kwako tu.
na kama ni Kampuni unataka kusajili kwa muda ujao wewe unapashwa kufanya...
Mkuu na wewe utakua una ajenda yako tu, toka jana unapiga maneno tu hamna ushahidi wowote... Kama una ushahidi sema hapa kama hauna futa post yako... Ni chuki binafsi tu zitakuwa...kama hamna ushahidi tuambie tujue moja hapa... Kuna mambo mengi ya kujadili
1. Issue ya ombi kufutika ni pale ambapo ombi ambalo halikulipiwa linakaa kwenye mfumo kwa siku saba hapo litafutika.
Ombi ambalo limelipiwa linakaa kwenye mfumo kwa siku 365 kama lisipofanyiwa kazi linafutika.
2. BRELA haipo tena Jengo la Ushirika, imehamia Posta katika Makutano ya Mtaa wa...
Pole sana Mama Amon namba ya kituo cha miito ni +255 (0) 222 212 800, unaweza kuwachek pia Instagram brela_tanzania WhatsApp pia wanapatikana kwa namba hii +255735331003 au kuwatumia barua pepe maoni@brela.go.tz
Hili suala nadhani ni vyema kuliangalia kwa pande zote mbili, kuna wakati inatokea pia sisi wenyewe tunaorudishiwa masahihisho tunashindwa kabisa kufanya marekebisho kama tulivyo elekezwa na badala yake tunaenda kuharibu zaidi kwenye mfumo.
On the other BRELA inahudumia Watanzania waliondani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.