Sijui niseme ninabahati mbaya maana marafiki wote niliowahi kua nao kuanzia wautoto wote walikua wasaliti..sasaivi tumebaki kujuana tuu na Wala sihitaji Tena rafiki wameishia kuniumiza tuu[emoji24]
Bibiangu mzaa baba nimshika dini haswa lakini akitoka anaficha kichwa cha gesi waya wakuwashia tivii na muda wa kupika nyama anasehabu finyango.kwahyo uchoyo niasili ya mtu haijailishi ameshika dini kiasi gani
Usifikie hatua hiyo ya kujiua,tena futa Hilo wazo la kujiua Mimi napitia wakat mgumu Sana lakin sijawahi waza kujiua kila kukicha namuomba mungu anipe uzima ili nivuke hichi kipindi salama.
Namuomba mungu Sana huu mwaka uishe tuu na anijaalie uzima napitia kipindi kugumu Sana Cha madeni misukosuko ya kila aina yani najihisi kama ninamkosi vile.kuna wakati naliaaa mpaka nahisi Kama namkufuru mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.