Kiza kimetanda, wananchi wanahaha mitaani, hawajui watakula nini kesho.
Mama anaamka, huku amelala na njaa ya siku mbili. Maziwa ya mtoto yamekata. Anajikokota kutafuta unga apike uji wa mwanae wa miezi 7.
Ikiwa takribani wiki mbili tangu rais Mseveni atangaze lockdown tena kwa siku 42 hapa...
Tanzania ni Nchi inayoongozwa na wanadamu ambao wameumbwa na Mungu na wanapata nguvu ya kuongoza na kutawala kutoka kwa mwenyezi Mungu aliyewaumba. Hii bila ubishi wala majivuno wala matambo.
Mkuu wa nchi ana nafasi kubwa sana ya kuwafanya wananchi wake wamtegemee Mungu au wasimtegee Mungu bali...
Salamu za Askofu Gwajima wa Jimbo la Kawe kwa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Magufuli alipoteuliwa na Mh.Spika kusalimia kwa niaba ya Wabunge wenzake, leo Bungeni Dodoma.
Mheshimiwa Spika, ninaomba nikushukuru sana kwa kunipa fursa hii ya kusema maneno machache kwa...
Kabla ya Tundu Lissu kupata shambulizi alionekana kama mtu anayependa sana watu na kuwasaidia waliokuwa hawana msaada na kupitia hilo alitengeneza jina miongoni mwa watanzania.
Lakini baada tu ya kuonekana jina lake limekuwa, mtazamo wake ulibadilika, harakati zake zikabadilika na uzalendo...
Ukipita mtandaoni kwenye kurasa zinazoendeshwa na vyama vya upinzani katika kipindi hiki cha kampeni, utaona mambo makubwa mawili.
Jambo la kwanza utaona majigambo kwamba wanapendwa na kila mtu na kwamba Oktoba 28 watashinda!! Jambo pili utakaloliona ni matusi makubwa yakielekezwa kwa kila mtu...
Dhana mbaya kuliko zote ni kuona mambo mazuri aliyoyafanya mtu, ukajitia upofu na kuwaamnisha watu wengine kwamba hakuna kinachoonekana.
Mbunge wa Bunda Esther Bulaya aliwahi kulalamikia huduma mbaya ya Air Tanzania alipoipanda kutoka Mwanza mpaka Dar Es Salaam. Hapa kinachoshangaza sio ubovu...
Kwanza nikubali kwamba maisha yanabadilika kwa kasi sana siku kwa siku na hakuna namna unaweza kufanya yakusubiri mpaka uwe tayari.
Leo nimebahatika kupita barabara ya juu ya Ubungo interchange iliyofunguliwa hivi karibuni nikiwa njiani kuelekea Airport. Nikiwa juu nimepata mwanga fulani na...
Kuna hoja nyepesi kila siku zinaletwa hapa. Hivi huyu Gwajima mbona anakuwa anagombea Urais? Au jimbo la Kawe ni nchi inayojitegemea? Mimi nitamchagua then nimuachie kazi ya maendeleo, kisha tuone itakuwaje. Halima tumempigania sana na hatukuona jema lolote.
Kama Halima alituchengesha mara...
Hili kupata maendeleo yasiyo na konakona, kufanikisha kuwa na kauli moja jimboni na kuhakikisha mambo yanatiririka kwa uzuri zaidi basi ndugu Gwajima anafaa sana kwenye jimbo la Kawe. Kuna ujanja ujanja Halima anafanya lakini tutaweka wazi mpango mzima ndani ya muda mfupi
Tunapenda wanawake waongoze kwenye jamii na tumefanya hivyo Kawe kwa miaka kumi, hatuwezi kulaumiwa kwa kuminya nafasi za kisiasa. Tatizo ni kumpa mtu nafasi mara nyingi hivi na bado hamna anachofanya.
Kazi ya mbunge ni kuwasemea wananchi bungeni, Halima amekuwa wa kuisema serikali mitandaoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.