Hapo ndipo ulipodanganywa. Ripoti ya PAC siyo ripoti ya CAG. Ni ripoti mbili tofauti. Nenda kazisome zote mbili kwanza halafu urejee tena hapa na hoja zako nyepesi.
Hiyo iko sawa na kanuni za logic. Kama A = T, A = B, basi B = T. Ngeleja kupewa hela na Ruge ni dhambi. Zitto kupewa hela na Ruge kama alivyopewa Ngeleja. Basi Zitto kupewa hela na Ruge pia ni dhambi. Nyingi vijana mnatakiwa kufahamu hizi simple rules of logic la sivyo mtabaki kuwa mazuzu...
Kwani Ripoti ya CAG imemtaja Ngeleja ama kuna mtu yeyote aliyetiwa hatiani na hiyo ripoti ya CAG? Usichanganye ripoti ya CAG na ripoti ya PAC. Hizi ni ripoti mbili tafauti.
Kifungu 7.7 cha Mkataba wa Kufungua Akaunti ya Escrow kinasema hivi
Akaunti ya Escrow yalifunguliwa ili malipo yaendelee na huduma ya kupewa umeme isisimame. Ufunguzi wa Escrow Account ni kwa mujibu wa Power Purchase Agreeement siyo kwa sababu ya kesi yoyote ya mahakama. Ukisoma hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.