Recent content by kuchangumu

  1. kuchangumu

    Kapoteza Simu,Kabla Ya Week,Ghafla Kanunua Mpya

    Preta kama unaufafanuzi wowote juu ya vicoba weka hapa mbona tena unapiga bonge la chekooo..!!!
  2. kuchangumu

    Kapoteza Simu,Kabla Ya Week,Ghafla Kanunua Mpya

    Poleni na swaum wana MMU Kuna swala naomba niwashirikishe mnipe uelewa pale nisipoelewa, Hivi hawa kina mama wanaojiunga na VICOBA ni mashari gani wanatakiwa kuyafuata wanapokuwa huko,Ili waweze kukopeshwa? Naitataji kujuwa kwa sababu yupo jamaa mwenzi wake kapoteza Simu baada ya siku mbili...
  3. kuchangumu

    Mwenyekiti wa CHADEMA afunguliwa mashtaka kwa kuiba mlingoti wa CCM

    lendila ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha utaendelea kuila tu hao ndio Ccm a.k.a Magamba
  4. kuchangumu

    Mwanaume kucheat ni kawaida sana wala haitaji mwanamke kulia lia

    Najuwa hawapendi ukweli lakini nimewapa makavu live acha waje tu mi nipo hahaha
  5. kuchangumu

    Mwanaume kucheat ni kawaida sana wala haitaji mwanamke kulia lia

    Kuna maswala mengine kwenye mapenzi wanawake hutoa povu ila ukitafakari kwa undani unagundua mungu alishasema ni viumbe dhaifu so unawasamehe lakini ukweli unawapa "Mfano" Mwanaume kucheat ni kawaida sana wala haitaji mwanamke kulia lia ama kulalama,mradi tu hamdharau mwenza wake,Iwe mke au...
  6. kuchangumu

    Zitto kuunguruma kesho Viwanja vya Furahisha MWANZA

    Vipi washaongea na Diallo awaandalie wateja?
  7. kuchangumu

    Mnyika atikisa Mwanza- aibana Serikali; janga la ajali, BVR na hatma ya Uchaguzi Mkuu

    Mwl.Kaijage hujaridhika tu na uzi ulisnzisha hapa dakika chache zilizopita? Umeamua kubadili ID na kuweka uzi uleule? Pole mwalimu,kama walimu wote Tz wangekuwa na fikira kama zako sijuwi tungekuwa na taifa gani.ebu ipe taasisi ya mateacher thamani kidogo bw kaijage.
  8. kuchangumu

    CHADEMA yapata pigo la kwanza kwenye mikutano, mikutano yake yadoda

    Huu uzi kwa maudhui haya haya ungelikuwa unawahusu ACT naamini usingeishi hata dakika tano Najuwa ukweli unauma lakini huo ndio ukweli wenyewe.
  9. kuchangumu

    Picha: Mkutano Wa ACT-Wazalendo, Shinyanga (Tarehe 19 Aprili, 2015 )

    Mbona picha ni zile zile tu..mwambieni mwami abadili hizo nguo ndio tuwaamini hizi picha zinajirudia
  10. kuchangumu

    Mtuumiwa wa mauwaji ya Alibino awatoroka Polisi

    Polisi mkoani Kagera yakiri kutoroka kwa Mtuhumiwa Graudesia Ndibalema aliyekamatwa kwa tuhuma za mauaji ya Albino. Huu ni mzaha watu wapo kwenye kampeni kali ya kupinga na kulaani mauwaji haya ya kikatili na mtuhumiwa wa mauwaji hayo analindwa na kushikiliwa kizembe hadi kupelekea kutoroka.Huku...
  11. kuchangumu

    Dr. Mengi Ashtushwa na taarifa za kuiangusha serikali ya Kikwete

    Zitto zuberi kabwe kila idara keshakuwa mwimba iwe taasisi hata mtu moja mmoja ona sasa kashaingia kwenye ugomvi na mzee mengi Wakati sisi tunajuwa huyu mzee sio mwanasiasa shame
  12. kuchangumu

    Dr. Mengi Ashtushwa na taarifa za kuiangusha serikali ya Kikwete

    👏👏👏 laki si pesa
  13. kuchangumu

    Dr. Mengi Ashtushwa na taarifa za kuiangusha serikali ya Kikwete

    JF kisiwa cha habari za uhakika na haraka zaidi We endelea kuangalia Shikorobo upuuze habari then vitu vya kweli uite upuuzi na vya uongo uvisifu kule kwenye KIU
  14. kuchangumu

    NEC: Hatutaahirisha Uchaguzi Mkuu Oktoba, wala kuiongezea muda Serikali iliyopo Madarakani

    Freeman alishawaeleza toka jana kwenye mikutano ya cdm ya mafunzo ole wao wasogeze uchaguzi nchi itawaka moto Sasa waache wapuuze kama walivyopuuza swala la kura ya katiba sprili 31 na wakachemka washuudie moto wa kweli
  15. kuchangumu

    Dr. Mengi Ashtushwa na taarifa za kuiangusha serikali ya Kikwete

    Hahaha huyu jamaa anamatatizo makubwa sana kwenye ubongo kwanza sio mzima Nimejiuliza kwenye badiko hili uchaga umeanza je?sikupata jibu na mpaka sasa natafakari tu.....bila majibu kwa mwenendo na watu kama hawa hili taifa lipo pabaya sana
Back
Top Bottom