Akubali tu amekalia kuti kavu... Kaka kuna mademu ukiingia ni kama umeingia mlango wa 8 mambo yako yotee yataharibika.... Sijui ule weupe ndo umeku zuzua maana mfupa ulomshinda fisi bila woga paka ukaruka nao...Muda huu naona ungetumia kujibu shutuma kali zinazokukabili juu ya wizara unyoitumikia.
Kwa kweli huyu bibie mpambaji anaeeza pata lawama buree maana uso wake haukubaligi make up. Kwa mara ya kwanza nimeona kapendeza na nimeskia make up artist alokubali kuvaa mabomu ni LAVIE
Binamu habari ndo hiyo fatilia source zako utaona yaliyomo yamo. Mbn hata birthday ya Biskuti uncle sponsa ndo alifanya na akamyima mama mtu kumualika mkata viuno wa Diamond
Hehehe ajikute tu na hilo jina ndo linampa ugali[emoji23][emoji23][emoji23]kwanza ana laana ya Peter yule mumewe. Alimfanya akatelekeza familia(kirogo kilikolea)Mwanaume akawa ndodocha Muna akawa anatembea na kalala jr anamfanyia party na kumuhonga magari
Bado machozi ya mamake,Machozi ya mke wa...
Mama Biskuti alimpora huyo danga kwa yule muogea maziwa na yy akaona afunguliwe biashara sare sare na mwenzie ..Ndo chanzo yy na binti wa balozi wasialikwe kwenye uzinduz wa reality show juz kati hapa,Sasa juzi sponsa kadhamin birthday mama biskuti kaenda kulambanalambana na Iyobo. Sponsa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.