Mkuu ahsante...nilienda nacte wakaniambia kwa jna langu halimo kwenye rejected list na vilevile kwa faculty niliyoomba udsm haijawarudshia majna yoyote...majna ambayo udsm imerudsha n za faculty zngne......tatzo confirmation!!!!..daa..nahic kuchanganyikiwa then leo ndo wameanza kuripoti!!
Yaan majanga mkuu....maana sifa za kujiunga na vyuo vikuu vnaandaliwa na Nacte & Tcu na hizi zote n taasis za serikali....so m na wewe hatuwez jua kilichopo nyuma ya pazia!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.