Recent content by Krishi

  1. Krishi

    Kwa uimara na kupata wingi wa sperm

    Wingi wa sperms unategemea aina ya vyakula atumiavyo mtu. Mfano chakula vya protein kama maziwa, Mayan na. samaki n.a. matunda pamoja na. Unywaji maji kwa wingi.Pia ulaji wa vyakula vya kiasili kama karanga mibichi na mihogo mibichi. Ndio maana siku HIZI imezuka biashara ya akina mama kutembeza...
  2. Krishi

    Mke mtarajiwa hana hisia ukeni, nini tatizo?

    Zidisha utundu MKUU KUNA Mahali utamkamata tuu. Hawa viumbe wanahitaji ubunifu na njia mbadala
  3. Krishi

    Eti jamani nitakuwa nimepona UKIMWI?!

    Risky ya kuambukizwa hupungua sana WaPo i) umetahiriwa ii) Huna vidonda / UTI iii) Iwapo mwenzako anatumia dawa. Inavyoonekana huyo demu wako yupo kwenye dose ndio maana wanamjua kua ANAO, huenda baadhi yao hukutana nao clinic. 2. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia 95 ya wanaoambukizwa HIV , kwa...
  4. Krishi

    Naomba Msaada: Tatizo la uume kulegea wakati wa kufanya mapenzi

    Stress ndio woga ndio chanzo kikuu cha tatizo hilo
  5. Krishi

    Waziri mkuu kuwavua vyeo wakuu wa shule wasio na shahada ya chuo kikuu

    Ni kweli mkuu. Nipo Mpanda nimemshuhudia live jana akitema cheche
  6. Krishi

    Uume hausimami wakati wa tendo

    Kula mihogo mibichi kwa sana na maji ya kunywa kwa wingi. Vilevile Tumia sana matikiti maji pamoja na chai ya tangawizi. Then tujulishe results
  7. Krishi

    iPhone and iPad niulize chochote

    Ni Ipad aina ya Apple
  8. Krishi

    iPhone and iPad niulize chochote

    Natumia IPad 4 - Lakini nashindwa ku-install na kutumia Whatsapp. Nifanyeje ILI niweze kutumia Whatsapp?
  9. Krishi

    Nahisi nina maumbile madogo, naomba msaada wa mawazo

    Size does not matter. What matters is how you use it.
  10. Krishi

    Maambukizi ya VVU huchukua muda gani kuonyesha umeathirika?

    Nashukuru Mungu nimetoka kupima ngoma muda huu kwa kutumia HIV rapid test (determine ) na Bioline, NIPO vizuri. Mwisho wa kucheza rough!
  11. Krishi

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Dr hivi ni kwa nini vipimo vya malaria hutofàutiana Kati ya hospital Moja na nyingine? Kwa mfano hospitali ya kwanza unaandikiwa 4 MPS/200 WBC na muda huohuo unakwenda hospitali nyingine unaambiwa 15 MPS/200 WBC.. Ipi ni sahihi?
  12. Krishi

    Ni kosa gani alilolifanya Aboud Jumbe kustahili 'kifungo cha maisha'?

    Yupo nyumbani kwake mji mwema na mara kwa mara amekuwa akipelekwa nchini India kwa matibabu.
  13. Krishi

    Mwanafunzi wa UDOM auawa kwa kupigwa usiku

    Ulimwengu sasa umekwisha MAANA Kula kukicha tunapata taarifa za watu kuuawa!
  14. Krishi

    Msaada, Wiki moja Sasa Jogoo Wangu hasimami

    Ni msongo wa mawazo na pengine Sukari pia ipo juu
  15. Krishi

    Ni kitu gani unachokipenda hasa kuhusiana na JamiiForums tofauti na mitandao mingine?

    Napenda Uhuru wa kujieleza, na Jinsi Hoja binafsi zinavyojibiwa na wakuu
Back
Top Bottom