Mzumbe University ni kama Pombe ya Ngomani yeyote anaweza kwenda pale akajiregister, akaendelea na shughuli zake then baada ya miaka miwili anarudi kuvaa joho.
Mkuu Nape hawezi kujitokeza Hadaharani Kuelezea Elimu yake. Nape analiwinda sana Jimbo la Ubungo sasa anahisi Masalia wanaweza Kumsaida
Nape alifeli Form Six baada ya Kukosa Sifa za Kujiunga Chuo Chochote Cha Tanzania. Kwa sababu Mzee Yusuph Makamba alikuwa na Uhusiano wa Karibu na Baba wa...
Hakuna mahala Mnyika amewahi kusema alipta division one point tatu Tambaza. Yaani mna mlisha Maneno halafu mnataka ayathibitishe. Ndio Upuuzi wenyewe huu
Mkuu mohamed Mtoi fuatilia Maelezo ya January wakati alipokuwa Mchangiaji wa Mwisho katika Hoja ya AG. Dogo ni Mpuuzi sana kwa kweli hilo gazeti limezungumza kile ambacho nilismikia Makamba
Upuuuzi. Upuuuzi. Upuuzi. Kuliko kuendelea kuchangia huu Upuuzi ni bora niende zangu Machinjioni Nikachinje kandama kangu nikaingize Sokoni. Butcher langu limenadikwa haleluya Butcher. Karibuni wote
Wewe ni Mpuuzi kama Wa.puuzi wengine
Mnyika Mtoto wa Juzi tu unasema anaficha elimu yake? Kwani Mnyika amesomea Mbinguni mpaka watu wawe hawaijui elimu yake hadi apande Jukwaani. Mnyika akipanda Jukwaani kujibu huu Upuuzi atakuwa M.puuzi kuliko wewe. Mnyika
1. Kamaliza Darasa la saba mwaka...
Ni wapi na Lini Mnyika ameshawahi kuzungumzia Elimu yake? Wapi na lini Mnyika ameshawahi Kusema ana Degree? Nimesema Mnyika akijiyokeza na kujibu huu U.puuzi na yeye atakuwa M.puuzi kama Ninyi
Masalia naona wameamua kuanza na Gear namba nne kuendesha Gari. Hakika wameshindwa. Hakuna hata Salia mmoja anayeweza kujifananisha na J J Mnyika. Narudia tena hakuna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.