Recent content by kotapini

  1. K

    JamiiForums Tanzania Askari 15 wanasurika kifo baada ya gari walilopanda kugongana na fuso

    (Alisema chanzo kamili cha ajali hiyo bado kinachunguzwa na vyombo husika) Hapa mamwera ndio wana makosa maana kwa ninavyowajua ndugu zetu wa fuso kama angekuwa na makosa tayari chanzo kingesemwa
  2. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jizuie kuzaa au kuzalisha ikiwa huwezi kutunza wanao au familia yako

    Jamaa ameongea kitu kwa mihemko, leo hangaika na mtoto na mwanamke, kesho utakapoanza kuwa kibogoyo ndipo utakapojua kwanini ulijitesa bila kujua mtoto atabaki kuwa wa mama kwako attrition jina la lako na la ukoo tu Beijing conference ndio iliturn the situation, angalia wanyama wote, ndege na...
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ana funguo ya sex. Mwanaume ana funguo ya ndoa

    Daaaah
  4. K

    JamiiForums Tanzania Sintofahamu: Halmashauri ya Jiji la Arusha na Mchakato wa Kodi ya Majengo

    Zoezi hilo lipo nchi nzima ila kwa sasa kodi ya jengo itaenda kwenye halmashauri husika sio hazina kama ilivyokuwa enzi za Magufuli, Wanachofanya ni kuhakiki upya majengo yote. Note
  5. K

    JamiiForums Tanzania Natamani kila mwana JF asome vitabu hivi viwili, ni zaidi ya degree ya saikolojia

    Mwenye soft copy aweke nasi tuburudike
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wanaume Haya Tuliyataka Wenyewe

    Nakataa hii kitu, mimi nina ushahidi wa famikia yetu, mama alianza kupata kazi kabla ya mama na wote wakawa wafanyakazi, na mama alikuwa anamuheshimu baba kwa hali zote Mwanamke mwema hutoka kwa Mungu na changamoto inayotokea ni kwamba tunachagua mwanamke kwa utashi wetu siyo kumshirikisha Mungu...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Vijana wa 2000 watasema hii ni pakiti ya majani ya chai🤣

    Alikuwa na mwenzie anaitwa tambuu, vilikuwa kama vikaranga vilivyokatwa
  8. K

    JamiiForums Tanzania Wizi wa nyota

    Tuelezee kufubaishwa nyota na wake zetu
  9. K

    JamiiForums Tanzania TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu usaili (Interview) wa TRA

    Noma sana
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

    Mwanangu hiyo zaburi siyo nzuri kuisali sali sana, kuna mistari humo inamaanisha yalinikuta mm mtu akapotea mazima
  11. K

    JamiiForums Tanzania James Mbowe: Tabia alizoonesha Lema sio tabia za Wachaga

    Mpuuzeni, namjua nje ndani
  12. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu: Aliyemleta Abdul kunihonga anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti na anamuunga mkono 'Mwenyekiti'

    Kipi kipya hapo? Mpina kuhusu bashe alikuwa anaongelea chooni? Sisi tunafurahi kwa maana tunajua mwisho wao umefika, chama dume kiendelee kushine Watched wafu wazike wafu wao
  13. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kuonyesha kwamba Lissu haungwi mkono na mtu yeyote ndani ya CHADEMA, leo amekwenda akiwa mpweke kuchukua fomu

    Kuchukua fomu siyo sawa na kwenda kurudisha fomu, vikao vya maadili hukata watu kwa kwenda na kundi la watu na shangwe kwani hutafsiriwa kama kuanza kampeni kabla ya wakati Naamini kanuni na taratibu zinazoongoza uchaguzi wao wagombea wanajua
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

    We nawe poyoyo kweli, unataka kufananisha mfumo wa chama kimoja kipindi hiko na sasa, Hata chama changu pendwa ccm kila miaka kumi tunabadilisha mwenyekiti
  15. K

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Zitto Kabwe: Tunatangaza kususia ofisi za viongozi wote waliochaguliwa kwa kura bandia mpaka Uchaguzi ufanyike upya

    Daah zito kweli kaisha, hv yeye mfano inatakiwa barua ya utambulisho kwa ajili ya dhamana labda mahakamani, ya ndugu yake hataenda kwenye ofisi ya mtaa kuchukua? Ni upuuzi mtupu,
Back
Top Bottom